Bukoba Finest
JF-Expert Member
- Jul 13, 2023
- 250
- 314
Kitendo hicho kina madhara kiafya kwao kama ilivyo kwa wanaume, hivyo kukaa kimya bila kulizungumzia hili ni kutowatendea haki.
Haya ni baadhi ya madhara anayoweza kuyapata mwanamke anayejichua au kupiga punyeto;
1. Kupoteza hisia, inakufanya ukose hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
2. Kuwa na uke mlegevu, yaani mtepeto.
3. Kupelekea maumivu ukeni, ukikutana na mwanaume wakati wa Tendo.
4. Huwezi kujua raha ya tendo la ndoa ukizoea sana punyeto.
5. Kukupelekea kuchelewa kufika kilele pindi ukikutana na mwanaume.
6. Pia ukiizoea sana itakupelekea kufanya mapenzi ya jinsia moja (kusagana).
7. Inakufanya kuwa Mvivu na hasira za mara kwa mara zisizo hata na sababu.
Usiniulize nimejuaje .
Haya ni baadhi ya madhara anayoweza kuyapata mwanamke anayejichua au kupiga punyeto;
1. Kupoteza hisia, inakufanya ukose hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
2. Kuwa na uke mlegevu, yaani mtepeto.
3. Kupelekea maumivu ukeni, ukikutana na mwanaume wakati wa Tendo.
4. Huwezi kujua raha ya tendo la ndoa ukizoea sana punyeto.
5. Kukupelekea kuchelewa kufika kilele pindi ukikutana na mwanaume.
6. Pia ukiizoea sana itakupelekea kufanya mapenzi ya jinsia moja (kusagana).
7. Inakufanya kuwa Mvivu na hasira za mara kwa mara zisizo hata na sababu.
Usiniulize nimejuaje .