TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,377
Serikali yoyote duniani inapoanza kupata ganzi na kuanza na kuendelea kuua wananchi wake kwa kisingizio au kuzima sauti ya mnyonge ni maandalizi ya kuhitajika kwa mfereji wa damu.
Nimesoma barua ya polisi "TAARIFA KWA UMMA" baada ya kuvamiwa, kupigwa kisha kutekwa nyara kwa ndg Mdude hii hapa...
Hakika kama nchi tumefika hatua mbaya sana, yaani taasisi yenye mamlaka ya kumlinda raia ndiyo inatoa taarifa kwamba haihusiki na bado inashindwa kuchukua hatua stahiki.
Juzi niliona Padre Dr. Charles baada ya tukio lile haikupita 24hrs jeshi likatoa statement.
Nadhani itakuwa sawa kwamba, kinachotafutwa hivi sasa ni umwagaji mkubwa wa damu nchi nzima, labda muda wa kulipa bill umefika, WHY?.
BECAUSE; hiki kinachoendelea nchini kwa jeshi kukanusha kwa watu kuvamia raia na wengine wanatoa vitambulisho kwamba ni maafisa usalama kisha wanaondika na watu siyo sahihi.
Kule Musoma Mara, kijana aliyetekwa akiwa chumba cha mazoezi na wenzake, polisi walifika na kutoa vitambulisho ila, jeshi la polisi lilikataa pia na hata ndg wa yule kijana walipofika pilisi wakajibiwa kwa lugha isiyo ya staha, kwamba "... mmepitia kwwnza mochwari ..."
Jamani, najua mzee Jakaya na wazee wengine mlio litumikia taifa hili kwa sasa hamuwezi kuongea lolote sababu zama zenu hazipo tena, mmebaki kuwa viongozi kutumwa nje ya nchi kuwalilisha tu 😢!.
Ika narudi hapa Je; mna nia ya kunwaga damu kwa kutaka nchi ilipuke au mnadaiwa so mida wa kulipa umefika?.
Nimesoma barua ya polisi "TAARIFA KWA UMMA" baada ya kuvamiwa, kupigwa kisha kutekwa nyara kwa ndg Mdude hii hapa...
Hakika kama nchi tumefika hatua mbaya sana, yaani taasisi yenye mamlaka ya kumlinda raia ndiyo inatoa taarifa kwamba haihusiki na bado inashindwa kuchukua hatua stahiki.
Juzi niliona Padre Dr. Charles baada ya tukio lile haikupita 24hrs jeshi likatoa statement.
Nadhani itakuwa sawa kwamba, kinachotafutwa hivi sasa ni umwagaji mkubwa wa damu nchi nzima, labda muda wa kulipa bill umefika, WHY?.
BECAUSE; hiki kinachoendelea nchini kwa jeshi kukanusha kwa watu kuvamia raia na wengine wanatoa vitambulisho kwamba ni maafisa usalama kisha wanaondika na watu siyo sahihi.
Kule Musoma Mara, kijana aliyetekwa akiwa chumba cha mazoezi na wenzake, polisi walifika na kutoa vitambulisho ila, jeshi la polisi lilikataa pia na hata ndg wa yule kijana walipofika pilisi wakajibiwa kwa lugha isiyo ya staha, kwamba "... mmepitia kwwnza mochwari ..."
Jamani, najua mzee Jakaya na wazee wengine mlio litumikia taifa hili kwa sasa hamuwezi kuongea lolote sababu zama zenu hazipo tena, mmebaki kuwa viongozi kutumwa nje ya nchi kuwalilisha tu 😢!.
Ika narudi hapa Je; mna nia ya kunwaga damu kwa kutaka nchi ilipuke au mnadaiwa so mida wa kulipa umefika?.