Ukweli na utapeli wa WAZZUB 'social network'...

Zeddicus Zu'l Zorander

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
797
929
Kuna Website ambayo inategemewa kufunguliwa hivi karibuni inajulikana kwa jina la wazzub.com, imekuwa ina endesha mchakato wa kurecruit new member kabla ya siku yake ya kuzinduliwa kwa madai kwamba mtu atakayekuwa ameunganisha member wengi kabla ya siku yake ya kuzinduliwa atakuwa anapewa hela kila mwisho wa mwezi, je wadau hili linawezekana au ni utapeli wa watu tu?
 
Hakuna pesa rahisi kiasi hicho mkuu...........
Don't waste your time broda its totally nonsense
 
Kuna Website ambayo inategemewa kufunguliwa hivi karibuni inajulikana kwa jina la wazzub.com, imekuwa ina endesha mchakato wa kurecruit new member kabla ya siku yake ya kuzinduliwa kwa madai kwamba mtu atakayekuwa ameunganisha member wengi kabla ya siku yake ya kuzinduliwa atakuwa anapewa hela kila mwisho wa mwezi, je wadau hili linawezekana au ni utapeli wa watu tu?

Ukweli ni kama ifuatavyo,
Unajiandikisha na kuwaandikisha marafiki/ndugu zako kama "wafuasi" wako. Sasa hizi details wanazopokea ni deal kwao kwani washapata chambo wakuwatumia hapo baadae, kumbuka kuwa hawa wamejiandikisha au kuandikishwa na "marafiki" zao kuwa wanapenda kupata haya mapesa bila kutoa jasho. Sasa biashara kama hizi wanakuwa na category za "wajinga" kama ifuatavyo,
Yule wa kwanza kuandikisha yeye ni chambo 100%, ameamini kuwa ndio atafaidika na hii kitu kwa hiyvo value yake ni kubwa sana kwao, baada ya kumtumia statistics ambazo hazina kichwa wala miguu ataona kuwa kweli hivi punde atapata utajiri wa kufa mtu. Sasa hapo ndio "business" itakapoanza, watamtumia e-mail kuwa sasa "wafuasi" wake wametimia na asubiri fungu lake ma mapesa, muda sio mrefu atapata barua nyingine kuwa mambo yote yanaendelea vizuri, na kumkumbusha awahimize wafuasi wake kutafuta wajinga wengine, pia wafuasi wote watapata e-mail kuwa "bosi" wenu fungu lake lipo njiani. hizi e-mails zitakuwa nyingi tu kuwa sasa pesa ipo tayari lakini atahitajika kutuma administration fee ndio ile pesa iwe released. Kumbuka wafuasi wapo mbioni kwani wanaona mapesa mbele yao na wao wanawahimiza wengi zaidi..

Nadhani ushanipata, ile release money ndio dili yao, kiongozi atachukua muda kidogo kuwaambia wafuasi kuwa jamani nimeliwa, na hii shame ndio watakayoitumia kuficha siri yao...

Kama unazo za kupoteza, basi jiunge wazzup...
 
Ukweli ni kama ifuatavyo,
Unajiandikisha na kuwaandikisha marafiki/ndugu zako kama "wafuasi" wako. Sasa hizi details wanazopokea ni deal kwao kwani washapata chambo wakuwatumia hapo baadae, kumbuka kuwa hawa wamejiandikisha au kuandikishwa na "marafiki" zao kuwa wanapenda kupata haya mapesa bila kutoa jasho. Sasa biashara kama hizi wanakuwa na category za "wajinga" kama ifuatavyo,
Yule wa kwanza kuandikisha yeye ni chambo 100%, ameamini kuwa ndio atafaidika na hii kitu kwa hiyvo value yake ni kubwa sana kwao, baada ya kumtumia statistics ambazo hazina kichwa wala miguu ataona kuwa kweli hivi punde atapata utajiri wa kufa mtu. Sasa hapo ndio "business" itakapoanza, watamtumia e-mail kuwa sasa "wafuasi" wake wametimia na asubiri fungu lake ma mapesa, muda sio mrefu atapata barua nyingine kuwa mambo yote yanaendelea vizuri, na kumkumbusha awahimize wafuasi wake kutafuta wajinga wengine, pia wafuasi wote watapata e-mail kuwa "bosi" wenu fungu lake lipo njiani. hizi e-mails zitakuwa nyingi tu kuwa sasa pesa ipo tayari lakini atahitajika kutuma administration fee ndio ile pesa iwe released. Kumbuka wafuasi wapo mbioni kwani wanaona mapesa mbele yao na wao wanawahimiza wengi zaidi..

Nadhani ushanipata, ile release money ndio dili yao, kiongozi atachukua muda kidogo kuwaambia wafuasi kuwa jamani nimeliwa, na hii shame ndio watakayoitumia kuficha siri yao...

Kama unazo za kupoteza, basi jiunge wazzup...

Thanks mkuu kwa maelezo yako.
 
Mnakumbuka DECI? Msiwe wadanganyika! Imeandikwa "utailima ardhi ya miiba....", hamna vya bure katika ulimwengu huu
 
Kuna Website ambayo inategemewa kufunguliwa hivi karibuni inajulikana kwa jina la wazzub.com, imekuwa ina endesha mchakato wa kurecruit new member kabla ya siku yake ya kuzinduliwa kwa madai kwamba mtu atakayekuwa ameunganisha member wengi kabla ya siku yake ya kuzinduliwa atakuwa anapewa hela kila mwisho wa mwezi, je wadau hili linawezekana au ni utapeli wa watu tu?

wewe ni nine yule ninayemjua mie, nine wa mbezi unafanya kazi BOA au?
 
Back
Top Bottom