I hope you meet an angel from heavenKuna mdada alishawahi kunieleza ukweli yote aliyopitia kabla ya kuwa na mimi!
Japo alifanya kwa nia njema kabisa lakini baada ya hapo nilishindwa kuendelea naye maana yalikua mazito haswa!
Mkuu haikua kwa ubaya,ila kuna watu ambao wamepitia mambo ambayo ni mazito haswa,kuwa naye inahitaji ujasiri wa ziada!I hope you meet an angel from heaven
Kaka nenda nae kwa daktari anaemtibu umuulize maswali kama; kwa afya yake kuanza familia itawezekana? Mahitaji yake ya kila siku. Haya ni kama umempenda.Leo hii Kutana na mtu akuambie ana magonjwa ya kurithi kama epilepsy (kifafa), niambie kama utaweka kambi hapo...
Mambo mengine hayafai masikioni, japo ni ukweli.
Epilepsy? Nah asante dada...Kaka nenda nae kwa daktari anaemtibu umuulize maswali kama; kwa afya yake kuanza familia itawezekana? Mahitaji yake ya kila siku. Haya ni kama umempenda.
Wewe unaweza kuwa na mahusiano na Mwanaume ambaye kabla ya kuwa na wewe anakueleza alikuaga shoga labda?Kaka nenda nae kwa daktari anaemtibu umuulize maswali kama; kwa afya yake kuanza familia itawezekana? Mahitaji yake ya kila siku. Haya ni kama umempenda.
Kakaake ukijua baada ya kuoa je? Maana hutaki kuambiwa ukweli.Epilepsy? Nah asante dada...
Hata hivyo nimesemea kwa ujumla wake tu, ukweli mwingine ni mbaya, hauvumiliki. Siwezi kukubali damu yangu iingie magonjwa ya kurithi.
Hadi amekwambia ujue the past is the past for her..Mkuu haikua kwa ubaya,ila kuna watu ambao wamepitia mambo ambayo ni mazito haswa,kuwa naye inahitaji ujasiri wa ziada!
Nikijua atakinywea kikombe!!!Kakaake ukijua baada ya kuoa je? Maana hutaki kuambiwa ukweli.
oky i get you now, pls it takes time to heal from mental illness, and some if they took long to be noticed and cured it can never heal completely, but the conditions of the patient are kept at least under control at least 95%, so thats normal may God see your freands throShe is on treatment but sometimes she gets mood swings.