George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,021
- 4,913
Mkuu...Tuliandika sana sisi, tukaonekana ****** na tukaitwa warusi.
Cc Bukyanagandi MALCOM LUMUMBA , Elungata , Nguruvi3
Nakumbuka sana...
Ilikuwa kila nikipita International forum,nikikuta habari kuhusu UCHAGUZI wa Marekani,basi lazima niifungue nisome...
Nakumbuka uchambuzi wako jinsi ulivyokuwa ukipingwa na wanaojifanya kuijua Marekani kuliko wengine...
Lakini leo wamepata JIBU nani alikuwa sahihi...
Kukaa karibu na MAHAKAMA si kuijua SHERIA..!