ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
kwani jecha kaajiriwa USA?
SanaKura zinahesabiwa tarehe 8! Clinton Ni mtuhumiwa WA kuvujisha siri za nchi, yatamtokea ya Richard Nixon! Siasa za marekani Ni tofauti Na za ccm,
Kweli hata Jana Clinton karudi kuongoza kwa tofauti ya point 6Trump kwa maneno yale ya kuwakashifu wanajeshi asitegemee kitu kabisa arudi kwenye miereka tu
Exactly watu wanafikiri kushinda urais wa marekani ni hivi hivi tu bila kushinda electoral college votes hakuna mahali hataenda na mpaka sasa anaitaji kama kura 90 hivi kwenye hiyo poll ndani ya siku 4Ukiangalia vizuri hiyo Electoral college map hapo juu Trump has no path to the whitehouse ,the only thing nasubiri on Tuesday is Trump concession speech
Hillary ni mrithi wa Obama. mgombea alishashinda kabla ya kumpigia kura,Watu wanauchambua uchaguzi na siasa za Marekani vizuri sana, kuliko hata mambo ya hapa kwetu. Hata hivyo ni kama soka, wachambuzi na magwiji wengi lakini kiwango chetu duni sana.
Sasa mkuu kama ameshashinda kwanini wanafanya uchaguzi?
Well saidHillary ni mrithi wa Obama. mgombea alishashinda kabla ya kumpigia kura,
walihitaji kura yako ili kuhalalisha uteuzi
wao. mashirika makubwa na taasis zake duniani ndizo zinazo amua nani awe kiongozi
wanchi gani. Mfano mashirika kama Nike,adidad, Gap, monsanto, Calvin Klein, General motors, Ford, IMF, world Bank, McDonald, CIA, CFR,
Hili jukwaa la kimataifa siasa za kimataifa hujadiliwa hapaWatu wanauchambua uchaguzi na siasa za Marekani vizuri sana, kuliko hata mambo ya hapa kwetu. Hata hivyo ni kama soka, wachambuzi na magwiji wengi lakini kiwango chetu duni sana.
Sasa mkuu kama ameshashinda kwanini wanafanya uchaguzi?
RealClearPolitics - Election 2016 - General Election: Trump vs. Clinton
View attachment 427653
Kuna watu wanafikiri kashifa ya email itabadili matokeo .
Ukweli ni kwamba hata kura ambazo zimeshapigwa zaidi ya milioni 20.
Inasemekana Trump ameachwa mbali sana kwa zaidi ya kura milioni tano..
Ndio nipo huku new JerseyKwan humu kuna wapiga kura wa marekani?
Hili jukwaa la kimataifa siasa za kimataifa hujadiliwa hapa
Hillary ni mrithi wa Obama. mgombea alishashinda kabla ya kumpigia kura,
walihitaji kura yako ili kuhalalisha uteuzi
wao. mashirika makubwa na taasis zake duniani ndizo zinazo amua nani awe kiongozi
wanchi gani. Mfano mashirika kama Nike,adidad, Gap, monsanto, Calvin Klein, General motors, Ford, IMF, world Bank, McDonald, CIA, CFR,
Trump kwa maneno yale ya kuwakashifu wanajeshi asitegemee kitu kabisa arudi kwenye miereka tu
hahaha seems you don't know Republicans, it will get worse Trump akishinda believe metrump ashinde tu ili aje asitishe Tabia y mmarekani kuvamia vinchi kama Libya na kuzpora rasilimali na kuwaacha wananchi Kwenye dimbwi la machafuko