Ukweli Mchungu Kuhusu Matangazo Ya Bunge Live

Ukweli Mchungu Kuhusu Matangazo Ya Bunge Live

sawa lakini kama walikuwa wana nia ya dhati ya kutaka bunge liwe live, mbowe na hao wwnzake kuanzia novemba mpaka leo walikuwa wanafanya nini? maana TBC kusitisha matangazo ni issue ya siku nyingi

kweli upinzani unategemea TBC wataanza tu ghafla? bila kujali ratiba na wadhamini wa vipindi vya sas?

watanzania kuweni macho

Mkuu azamtv na starbunge hawahitaji wazamini
Suala bunge kuzuia waandishi hata kumiliki vinasa sauti
 
Umenifurahisha mkuu. Hawa wabunge chenga tu nao, wapo kwaajili ya maslahi yao tu na si vinginevyo.

Separation of power ni janga kwenye hizi nchi zetu. Kama mleta uzi alivyoshauri bunge wawe na kituo chao cha kurusha matangazo yao kwa gharama zao na serikali itabaki kugharamia TBC. US kuna C-SPAN kwaajili ya matangazo ya bunge


Mkuu Serikali haitaki mambo yote yawe wazi issue sio gharama

Waandishi wa habari na vituo vyao wamezuiwa kurekodi wanasema bunge ndio linamamlaka ya kugawa taarifa kwa media nyingine
 
Moja ya vitu ninavyovichukia katika uchaguzi ni kumchagua mbunge.. Kelele nyingi mbwembwe nyingi akishaingia mjengoni kimya na anaanza kulinda chama chake kwanza.. Haya bunge limesitishwa kulushwa live yamekaa kimya na yanaunga mkono hoja .. Ujinga huu ni wale wale wa chama kile kile kilichobadilisha chupa ila mvinyo wa zamani.. Heko Ukawa mkiongozwa na Mr Mbowe kwa kulikemea hili na msitoe hoja zozote mpaka bunge kama muhimili mwingine liludishiwe mamlaka yake na siyo yale maagizo ya kutoka magogoni
 
Back
Top Bottom