Jamaa kaandika pointKwani wewe katiba mpya haikuhusu? Umeandika maono ya ndoto zako pole sana!!
Umehama kutoka kwenye kubambikiziwa kesi sasa unaongelea kununuliwa!!Hivi Mnyeti alinunua wangapi?
Usikurupuke kucoment kabla ya kusoma na kuelewa.Kwahiyo CDM ikishindwa ndiyo itakuwa furaha yako na kukua kwa demokrasia nchini?
Mitazamo mingine mibovu kwelikweli!! Sasa kama inajulikana CCM huwa inashindishwa hata pale wanaposhindwa si bora vyama vya upinzani vifutwe tuwe tunaokoa pesa na kodi za wanachi katika mchezo ambao mshindi anajulikana iwe his ama mvua .
Pathetic!!!
Ukweli mchungu, nilishalisema hili tokea mwanzo na kuna uzi jamaa huuu humu.Nimeona watu wakifurahia mafuriko na mapokezi wanayoyapata viongozi wa chadema maeneo mbalimbali unnakofanyika uchaguzi mdogo wa madiwani.
Lakini ukweli ni kwamba ccm itashinda kata karibia zote na ndio maana wao hawana mbwembwe maana wanajua wanachokifanya, Ccm isiposhinda itashindishwa ili kuonesha kuwa rais anakubalika miongoni mwa wananchi hivyo basi chadema isijipe matumaini ya kushinda.
Ukweli mchungu ni kwamba chadema inashiriki ila mshindi anajulikana, hakuna mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi na katibu tawala atayekubali chadema ishinde kwenye eneo lake.
Chadema elekezeni nguvu zenu kudai katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi, uchaguzi huu hamna chenu.
Huku kwetu uchaguzi uliopita mawakala wa CHADEMA na mawakala wengine wakuisadia cdm wakitumia mwavuli wa UPDP walikuwa walimu, kada ya afya na graduates waliokuwa mtaani. Huku ccm ikitumia wazee wasio jua kusoma na kuandika. CCM walipigwa na kuragazwa mapema sana cdm ikachukua halmashauri kwa mara ya kwanza na pia mp akawa CDM.Wakiweka mawakala waaminifu ushindi uko pale pale.
Labda washinde ndaniCcm watashinda wapi?
Mnyeti mji anakofanyia kazi ni wa CDM so aandae fungu la kuwanunua madiwani wetu ili tuwachague wengine tenaHivi Mnyeti alinunua wangapi?
Sasa hivi huo wizi hautakuwepoHuku kwetu uchaguzi uliopita mawakala wa CHADEMA na mawakala wengine wakuisadia cdm wakitumia mwavuli wa UPDP walikuwa walimu, kada ya afya na graduates waliokuwa mtaani. Huku ccm ikitumia wazee wasio jua kusoma na kuandika. CCM walipigwa na kuragazwa mapema sana cdm ikachukua halmashauri kwa mara ya kwanza na pia mp akawa CDM.
Pia nashangaa..kama kweli tunabana matumizi,kwanini tunafanya chaguz ilhali ccm wanajua matokeo...unafk wa kiwango hiki ni hatari sana.Kwahiyo CDM ikishindwa ndiyo itakuwa furaha yako na kukua kwa demokrasia nchini?
Mitazamo mingine mibovu kwelikweli!! Sasa kama inajulikana CCM huwa inashindishwa hata pale wanaposhindwa si bora vyama vya upinzani vifutwe tuwe tunaokoa pesa na kodi za wanachi katika mchezo ambao mshindi anajulikana iwe jua ama mvua .
Pathetic!!!
Acha fix raisi Magufuli alinukuliwa akisema atashangaa sana mkurugenzi atangaze mpinzani kashinda wakati kampa gari, fedha na police.CCM itashinda kwa sababu wananchi wamekataa ulaghai na ufisadi
Huku kwetu uchaguzi uliopita mawakala wa CHADEMA na mawakala wengine wakuisadia cdm wakitumia mwavuli wa UPDP walikuwa walimu, kada ya afya na graduates waliokuwa mtaani. Huku ccm ikitumia wazee wasio jua kusoma na kuandika. CCM walipigwa na kuragazwa mapema sana cdm ikachukua halmashauri kwa mara ya kwanza na pia mp akawa CDM.
Ubunge siyo tatizo sana labda DED/Kiongozi wa tume ngazi ya jimbo apindue matokeo kwa utashi wake au waliomteua lakin matokeo halisi mnaweza kuwa nayo kwa kukusanya kutoka kila kitu cha uchaguzi.Yah yawezekana kabisaa matokeo ya udiwani sio Changamoto kama ubunge na urais.
Ubunge siyo tatizo sana labda DED/Kiongozi wa tume ngazi ya jimbo apindue matokeo kwa utashi wake au waliomteua lakin matokeo halisi mnaweza kuwa nayo kwa kukusanya kutoka kila kitu cha uchaguzi.