Kwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...
Kwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...
Kwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...
Nipo Songea bombambili simuelewi, alianza vizuri Ila wameshamuingiza kwenye mtego, watu niliokutana nao Leo cjaona hata mmoja anayeunga mkono nchi inavyokwenda,