ukweli kwanini serikali ya CCM imekubali LEMA APEWE UBUNGE wake

ukweli kwanini serikali ya CCM imekubali LEMA APEWE UBUNGE wake

T2015CCM

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
7,930
Reaction score
991
Jiji la Arusha limeshazinduliwa kwa hiyo lema hana madhara tena.

LEMA ameshajifunza ustaarabu alipokuwa bench kwa hiyo atafanya siasa za kistaarabu sasa.

Wananchi wa arusha wameona madhara ya siasa za vurugu kwa hiyo hawatapenda kuona tena siasa hizo ziendelee.

Lema amepoteza mvuto kama zamani kwa hiyo hana madhara tena.

SERIKALI IMEONA ITAKUWA GHARAMA KUBWA KUINGIA KWENYE UCHAGUZI MDOGO HIVYO NI BORA KUMRUDISHIA LEMA UBUNGE WAKE ILI KUEPUKA UCHAGUZI HADI MWAKA 2015

My take: HONGERA LEMA KWA USHINDI ULIOUPATA.WANA ARUSHA TUNAHITAJI UONGOZI WAKO ILA KUMBUKA TUNATAKA MAENDELEO
 
DSC00003.JPG
 
Umeandika nini sasa?
Kumbe serikali ndo imetoa hukumu ya rufaa ya lema na wala sio mahakama?
Kumbe serikali ndo iliyokuwa imeshitaki na wala sio makada wapiga kura wa ccm?

Tafakari dogo!
 
Umeandika nini sasa?
Kumbe serikali ndo imetoa hukumu ya rufaa ya lema na wala sio mahakama?
Kumbe serikali ndo iliyokuwa imeshitaki na wala sio makada wapiga kura wa ccm?

Tafakari dogo!
 
Jiji la Arusha limeshazinduliwa kwa hiyo lema hana madhara tena.

LEMA ameshajifunza ustaarabu alipokuwa bench kwa hiyo atafanya siasa za kistaarabu sasa.

Wananchi wa arusha wameona madhara ya siasa za vurugu kwa hiyo hawatapenda kuona tena siasa hizo ziendelee.

Lema amepoteza mvuto kama zamani kwa hiyo hana madhara tena.

SERIKALI IMEONA ITAKUWA GHARAMA KUBWA KUINGIA KWENYE UCHAGUZI MDOGO HIVYO NI BORA KUMRUDISHIA LEMA UBUNGE WAKE ILI KUEPUKA UCHAGUZI HADI MWAKA 2015

My take: HONGERA LEMA KWA USHINDI ULIOUPATA.WANA ARUSHA TUNAHITAJI UONGOZI WAKO ILA KUMBUKA TUNATAKA MAENDELEO

hunaa madharaaa kaka hataa seraaa hunaaa chukuaaa majiii yaa gongoooo ukatawazeeee may bee unawezaaa ukaelewaaa
 
Meneja akiitwa meneja huwa anafurahi;
mwalimu akiitwa mwalimu huwa anafurahi pia,
mtoa uzi akiitwa thahila kwa nini asifurahi?
 
Nyie jipeni moyo tu,Kazi ndiyo kwanza inaanza,si umeona mapandikizi yenu wakina ZITO KABWE walivyotiwa kolokoloni na kijana mdogo Ben Saanane,sasa mtashinda Lumumba mpaka siku za sikukuu,
 
Jiji la Arusha limeshazinduliwa kwa hiyo lema hana madhara tena.

LEMA ameshajifunza ustaarabu alipokuwa bench kwa hiyo atafanya siasa za kistaarabu sasa.

Wananchi wa arusha wameona madhara ya siasa za vurugu kwa hiyo hawatapenda kuona tena siasa hizo ziendelee.

Lema amepoteza mvuto kama zamani kwa hiyo hana madhara tena.

SERIKALI IMEONA ITAKUWA GHARAMA KUBWA KUINGIA KWENYE UCHAGUZI MDOGO HIVYO NI BORA KUMRUDISHIA LEMA UBUNGE WAKE ILI KUEPUKA UCHAGUZI HADI MWAKA 2015

My take: HONGERA LEMA KWA USHINDI ULIOUPATA.WANA ARUSHA TUNAHITAJI UONGOZI WAKO ILA KUMBUKA TUNATAKA MAENDELEO

Mimi nadhani mawazo yako hayana mashiko maana sidhani Kama umeshuhudia mapokezi ya Mbunge wetu.POLE SANA Mzee ,Mtu aliypoteza mvuto huwa anapokelewa na Hamasa kubwa ya watu namna ile kama hujaona checking hapo.
 
Sijui kwanini Nape anapoteza hela za magamba kuwalipa watu ngumbaru kama huyu jamaa aliyeleta huu Uzi humu! Maana anaonekana hata yeye mwenyewe hajielewielewi. Hii gongo ya kutafunia miogo mibichi ina madhara sana kwa afya ya ubongo
 
TUMEKUSIKIA
user-online.png
mwishowamwaka2012



Member Array


Join Date : 20th December 2012
Posts : 19
Rep Power : 304
Likes Received 2

Likes Given 1

Ha ha ha ha haaa, sasa mbona umemvua nguo.,

Anyway siyo mbaya sana, binafsi nimegundua kuwa kwanini kaandika vile, si unajua njuka tena...
 
Jiji la Arusha limeshazinduliwa kwa hiyo lema hana madhara tena.

LEMA ameshajifunza ustaarabu alipokuwa bench kwa hiyo atafanya siasa za kistaarabu sasa.

Wananchi wa arusha wameona madhara ya siasa za vurugu kwa hiyo hawatapenda kuona tena siasa hizo ziendelee.

Lema amepoteza mvuto kama zamani kwa hiyo hana madhara tena.

SERIKALI IMEONA ITAKUWA GHARAMA KUBWA KUINGIA KWENYE UCHAGUZI MDOGO HIVYO NI BORA KUMRUDISHIA LEMA UBUNGE WAKE ILI KUEPUKA UCHAGUZI HADI MWAKA 2015

My take: HONGERA LEMA KWA USHINDI ULIOUPATA.WANA ARUSHA TUNAHITAJI UONGOZI WAKO ILA KUMBUKA TUNATAKA MAENDELEO
Umeandika uongo mtupu kama sio mawazo yako...!?
 
Back
Top Bottom