Ukweli kuhusu Zitto Kabwe foundation


Ni wahuni tu Kaka. Walihack akaunti ya Facebook ya huyo Dada kisha wakapost hivyo.
TUWENI MAKINI TU
 
Collateral yake ni nini? Mbona naona kama taarifa kama haijajitosheleza? Hivi kweli uaply loan online na kupata hapo hapo. What physical evidence do u pit inplace ku assure kuwa utalipa mkopo kwa wakati?

Nilitaka kuuliza swali kama hili hili. Ukisepa na mkopo wao watakupataje ikiwa mmepeana online?
 
Ni wahuni tu Kaka. Walihacok akaunti ya Facebook ya huyo Dada kisha wakapost hivyo.
TUWENI MAKINI TU

We unatuzuga tu hapa haunnekani hata kama mtu aliepata mil tatu out of elfu 83 we unapiga soga tu.
Unacheza na mil tatu za bure saivi umgekuwa kwenye consumption zone.
 
Ndugu wadau,

Nimeona hii kitu kwamba Zitto Kabwe Foundation inatoa mikopo isiyo na riba kwa online banking.

Mwenye ufahamu wa hii kitu atujuze tuchangamkie tenda isipokuwa isiwe DECI.

Link ni hii hapa: http://zittokabwetz.wapka.mobi/
 
Sifa kuu za wanachama tunaohitaji katika maombi ya kujiunga ili upatiwe mkopo nikama ifuatavyo:-

(a) UWE NI MTANZANIA

(b) UWE UMETIMIZA MIAKA 18 NA ZAIDI

(c) UWE NA AKILI TIMAMU

(d) UWE NA MOJA KATI YA VITAMBULISHO HIVI CHA KAZI, SEREKALI ZA MITAA, LESENI YA BIASHARA, KITAMBULISHO CHA CHUO, BANK au KITAMBULISHO CHA KUPIGIA KURA na kiwe na namba ya utambulisho.

KAMA UNAZO SIFA HIZO UNARUHUSIWA KUJIUNGA NA TUTAKUPATIA MKOPO WA PESA.

my take
watu wake kule Kigoma wananuka umaskini,angeshunghulika nao kwanza,,don't jump the gun!!
 
Watu tushavuta mpunga kitambo we bado tu? Fanya fasta huo mchongo ni wa ukweli!
 
Zito ni member hapa JF ni vyema akaja kulisemea hili mapema. Isijekuwa watu wanapiga dili kupitia jina lake.
Cc: Zitto Kabwe
 
Zitto huyu Zitto kupewa mkopo usio na riba sharti ni kuwa mwanachama tu? au anataka kutakatisha pesa jamani?
 
inawezekana wadau mi nauliza ni kweli wapo
TAFADHARI USIJARIBU KUJIUNGA NA KULIPIA KAMA HUNA UHAKIKA SABABU JAMAA HAWANA ANUANI YA OFISI YOYOTE TANZANIA
 
Nimependa hio zawadi ya kuomba mkopo na kukubaliwa.
Mkuu mtoa mada huja eddit kweli maana duh, kwahio hizo 45min usha lamba zote hizo au ndo tayar.
 
jamaa angu mmoja nilimuuliza kuhusiana na hii kitu mwezi ulopita,akanijibu hii tasisi ipo kweli,na akadai jamaa yake ameshakopeshwa,na akanisisitiza kwa kuwa mueshimiwa ujaga mara moja moja ofisini kwetu nkimuona basi nimuulize kama siamini,bado sijaonana nae,na niliambiwa au nicheki na lady jay dee yupo kwenye hii taasisi pia ili niamini zaidi.Leo ntajitahidi kufatilia uwepo wa hii kitu kujiridhisha
 
kweli maisha yamekua magumu...wanabuni mbinu nyingi kuwaibia watu..
 
Humpati mtu hapa,ulnataka kutudanganya tutume 83000 mkaanzie weekend hutupati ngooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…