Ukweli kuhusu wewe na dunia

Sawa Mfuate mwenzio kwny NWO mkatoane sadaka
 
MEYIIII maana yake nn?
 
we jamaa ni muongo sana tena hupati mfuasi hapa... huyo mtoto mdogo alikuwa anataja meyi mpaka kaweza kuona 4D..!!? jibu ni hapana ni kwa uwezo wa mungu..!!!
na kama binadamu tuna uwezo wa kuona 4D kwann tutaje na huyo MEYI ni nani kama sio shetani anayetaka kuharibu uhusiano wa binadamu na mungu... acha kupotosha jamii na kushabikia shetani... chunga sana kijana mungu sio wa kumletea masihara..!!!!
 
ukitaka kuamini huyu mtoa mada hamnazo.. atajibu maswali mengi ila likifika MEYIII anakula kona... sababu anajua MEYI ni shetani aliyemshawishi kumkataa mungu wake... tumpeni pole tu kashadumbukia pabaya!!!!
 
Kuna mambo yanayofanywa na higher intelligence tusiyoijua Bali tunaamini.Hii higher intelligence naamini ni Mungu.Sema baadhi ya wanadamu wanajaribu kuelewa haya mambo kutumia intelligence yao ya kawaida.
Ipo siku mwanadamu ataduwaa atakapo ona ujuaji wake na sayansi na mamlaka si kitu kabisa.Ndipo atakapoamini kuna vitu beyond human intelligence tusivyoweza kungamua kwa akili zetu hizi.Na huwezi kuelewa zaidi ya kuamini.And that is wisdom.Akina Einstein na Plato walitambua hilo.

Mwanadamu na woga wake wa kufa na tamaa ataendelea kuhangaika huku na huko,kutafuta immortality na power.
Hatutakaa tukajua na kuelewa siri zote za hii dunia.Ila tunachojua kuna nuru na Giza ziko katika vita ya kuwa na mamlaka ya hii dunia.

Na silaha zao Ni mwanadamu.Tamaa zake,anaamini nini,anaogopa nini.Na ndio Maana dini inatumika na watu wema na wabaya.
Kuliko kuwaza NWO waza familia yako na nafsi yako.
Nguvu za Giza za hii dunia lengo lake Ni kumwangamiza na kumtawala mwanadamu kwa kutumia wanadamu wenzake.Na wana focus kwenye familia..jiulize why homosexuality?kwanini watu hatusali usiku Siku hizi kabla ya kulala badala yake tunachat?tunaangalia porn?

Kwanini?Simple.Rule the mind.Rule the body.miaka inayokuja mtu akija kukuhubiria kwamba Kulikuwa na mtume Mohammed.au Yesu alikufa na kufufuka.Utaishia kumcheka Sana tu.kwamba Mungu hayupo.

Sasa unadhani itakuwa Vigumu kwa NWO kutekelezeka?No.kwasababu mwanadamu kwa kutumia intelligence yake ataamini huo ndio mfumo bora wautawala aliokuwa anausubiria.Utawala usiomkataza mwanadamu homosexuality, porn,abortion,kubadilisha sex nk.
Its that simple.Hauhitaji kudecipher hizo triangles wala kumsoma DanBrown kuelewa.
 
Ni kweli,siku watu wakiujua ukweli makanisa,misikiti na waganga wa kienyeji watapoteza uhalali mara moja.
 
ukitaka kuamini huyu mtoa mada hamnazo.. atajibu maswali mengi ila likifika MEYIII anakula kona... sababu anajua MEYI ni shetani aliyemshawishi kumkataa mungu wake... tumpeni pole tu kashadumbukia pabaya!!!!
 

Unayoitoa hii yote ni Elimu ya Iluminat na freemasons. Kama umeshaingia huko babaa kaa mwenyewe! Waache hao Skull and Bones Members (Ambazo hata hauelezi zina maana gani) wakae na utajiri wao. Kwani utajili ninini? wanakula, wanakunya, wanakufa kama mimi, so what is the fucking difference? Jicho la saba la tano linakusaidia ninini? Hatukuwepo wakati dini zetu hizi zinaanzishwa likewise huo ufreemason ni mapokeo. Fanya kazi, tafuta pesa ule bata, hayo ndio maisha, usidanganye wasomaji na kupanikisha.
 
Bado sija muelewa huu ni uchawi kuna ushirika gani kusema meyiii na kulifungua jicho la tatu what doe it mean....Mungu na akukemee
 
hahahahaha mkuu yan unatupotosha kwa style ya kizaman sana


style hiyo na maneno hayo aliyatumia shetan kumshawishi EVA hadi akala tunda la mti wa katikati kisa kutaka kujua mambo kama unavotaka na sisi tuyajue

kwa upande wangu sihitaji kuyajua hayo yaliyofichika acha niendelee umburura wangu coz hayo mambo bibi yetu EVA(HAWA) yalimcost yeye na mumewe babu yetu ADAM.....
 
Nahisi Annael atakuwa na degree 20 kati ya 33 za free masson.
Anyway hata biblia inatabiri ujio wa mambo haya, watu kukosa hofu ya Mungu. Hata hatuna haja ya kupoteza nguvu kukemea, kwa sababu anatimiza maandiko, wakati ukifika kweli kutakuwa na serikali moja ya dunia na hapo ndipo, asiye na alama ya mnyama hataruhusiwa kuuza wala kununua. si ajabu hata siku ya kuabudu itatangazwa kuwa moja duniani kote.
Cha kufanya mtakatifu azidi kujitakasa.
Huwezi amini leo tunampinga Annael lakini kadiri siku zinavyoenda na maneno haya yanaendelea kusemwa itafika siku tutayaona ya kawaida na kukubali, ingawa sidhani kama mimi na wewe tutakuwepo, yawezekana watakuwa watoto wa wajukuu zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…