Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 29,829
- 77,360
Habari za wakati huu wana Jf, niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa asilimia kubwa watoto hufuata/huiga mienendo na tabia za wazazi/walezi wao, mtoto anapokua katika kipind cha ukuaji anafata na kutenda anayoyaona kwa wazazi/walezi na kwa asilimia kubwa huchangia kumjenga au kum-bomoa kimaadili. Tuwe makini bila kusahau kuwaelekeza mazuri ya kuiga na mabaya ya kuacha ni yapi ili kuwa na maadili kwenye jamii.
NAWASILISHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAWASILISHA.
Sent using Jamii Forums mobile app