Kama wanakuita hivyo, give them a good name instead, just to make a difference!
Na kama kweli situtaion yenu iko hivi kama unavyonieleza, basi mnahitai msaada kwa Kisaikollojia, wewe na hao wenzako. Kwa mimi nikiwa na mtu yeyote yule halafu akajidai ku-misbehave kama vile unavyodai wewe, huwa nina passive reaction ambayo mtu mwenye akili timamu hawezi tena kurudia, regardless of tittle, financial position or whatever, na actually atajiona ime-fireback kwake!
Dharaiu/ ubaguzi huwa unasababishwa na target person ku-respond kuwa amebaguliwa au amedharauliwa. Bila target person kujisikia hivyo hakuna dharau wala kubaguliwa. Na mimi nilishasema siku zote kuwa unapokuwa uko na wazungu halafu unakuwa na vijitabia vya kujitenga tenga nao, na kwa sababu wengi wao hawajahi kufika huku kwetu, kadri unavyozidi kujitenga nao, wao nao wanazidi kujitenga na wewe kwa kudhani kuwa unawabagua. Matokeo yake wao wataanza kukutuhumu kuwa wewe ni mbaguzi bila wewe kujua na wakati huo huo wewe unawatuhumu kuwa wao ni wabaguzi, kumbe ni wewe mwenyewe umesababisha wakubague. Ni lack tu ya emancipation kichwani. Send me anywhere nitaishi na watu na hakuna atakayenibagua na hakuna nitakayembagua. Mawazo duni sana haya.
However, this is out of context of the topic we are trying to discuss here, ila mwishowe nimeona ni-respond. Nashauri uwe na tabia ya kuwa-appreciate watu for the good qualities they have na hautakuwa mtumwa wa hayo mambo yanyooonekana yamesjhika mizizi sana kwenye akili yako. Moreover, you must necessarily love people, whether good or bad, regardless of their race. Huu ndiyo uhuru wa binadamu uliofichika! Ck njema sana.