Habari zenu nategemea mpo salama naomba kueleweshwa kitu
Hivi unaweza kutumia dawa za presha na ukakaa sawa?
Namaanisha unaweza kutumia dawa bila kuacha na maisha yakaendelea kama kawaida?
Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.