Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 645
- 380
Ukisikia kumkoma nyani giladi ndio huku.
Kudos kanda2.
Yaani umefunika, umeweka sawa kila kitu. Analysis yako imekuwa very extensive. Duh! kumbe jamaa zetu ndivyo walivo. Nafasi zote wamehodhi wao.
The point ambayo watu wanaikosa humu ni moja tu. Waislamu hawapaswi kuonekana kwenye sehemu zozote za maendeleo na elimu. Wao wameshatengewa kazi zao ambazo ni upishi, usafi na udereva.
Hii inchi sasa inaelekea kubaya na wenyewe wameshasema kama HAWADANGANYIKI. Unajuwa facts kama hizi wakizipata wale jamaa zangu pale Mtambani, Kichangani au Kwa Mtoro bdio watazdi kuchanganyikiwa, si unauwa Jazbii walivyo.
Mtoa mada wa awali alidai kuwa UDOM ni chuo cha waislam kimejaa udini na upendeleo. Nilichofanya ni kuonyesha kuwa madai ya awali si sahihi na kutoa data. Kwanza UDOM ni taasisi ya umma. Si rahisi kwa yoyote kutoa mshahara au marupurupu kwa kufuata matakwa binafsi.Nyie wabongo, Kutumia dini kama kigezo cha kutoa mshahara mzuri kwa mtu mwenye sifa sawa na mtu wa dini yako haikubaliki wether you are christian or Muslim.
Hoja iliyoletwa hapa kubwa ilikuwa ni kutumia CHEO au madaraka aliyonayo mtuhumiwa.
Ila nyie mlioenda "shule saana" mmeshaanza kulete UDINI hapa. Tofautisheni kuwa Mdini na kutumia DINI kama kigezo, I know there is a thin line between the two, but surely there is a line.
Mtoa mada wa awali alidai kuwa UDOM ni chuo cha waislam kimejaa udini na upendeleo. Nilichofanya ni kuonyesha kuwa madai ya awali si sahihi na kutoa data. Kwanza UDOM ni taasisi ya umma. Si rahisi kwa yoyote kutoa mshahara au marupurupu kwa kufuata matakwa binafsi.
Wanaodai UDOM kuwa ni chuo cha Waislam ndio wanaoendekeza Udini. Labda mtoa hoja wa awali angetaja chanzo cha habari yake napia ni vyeo gani wamepewa watu kwa upendeleo kwa sababu orodha ya viongozi imetolewa. Mwenye hoja aitoe kwa data.
Angalizo langu kuu ni juu ya madai yenye chuki juu ya kikundi fulani au mtu fulani. JF ni kijiwe cha wenye busara, hoja zetu zionyeshe busara zetu.
Ubaguzi wa dini, rangi, kabila nk. ni hatari kwa nchi yetu.
Waungwana Habari za udini hazifai kutajwa na kujadiliwa na jamii ya watu makini kinachotakiwa ni kueleza mapungufu ya mtu fulani mwenye cheo fulani kwani upungufu au uimara wa mtu hauletwi na dini ila ni mtu mwenyewe.
Tukianza na dini tutaelekea kwenye kabila then tumalizie na jinsia.
chuki na udini umekujaa, najua hampendi kuambiwa ukweli hasa pale hila zenu zinapofichuliwa.
Sehemu zote hizo zenye vita ni kwa sababu ya uroho wa wagalatia dhidi ya mali za waislam walizjaaliwa na mola muumba.
Hapa kin achotakiwa ni kujibu hoja kwa hoja sio kushutumu na kutukana kwa sababu tu hoja zilizowasilishwa umeshindwa kuzijibu.
Waleta hoja wakiziwasilisha bila data mnasema uzushi, wakiweka data mnasema analysis zinaboa sasa mnatakaje?????.
Hapo ndo inpodhihirika hila na chuki dhidi ya uislam.
Mtoa mada wa awali alidai kuwa UDOM ni chuo cha waislam kimejaa udini na upendeleo. Nilichofanya ni kuonyesha kuwa madai ya awali si sahihi na kutoa data. Kwanza UDOM ni taasisi ya umma. Si rahisi kwa yoyote kutoa mshahara au marupurupu kwa kufuata matakwa binafsi.
Wanaodai UDOM kuwa ni chuo cha Waislam ndio wanaoendekeza Udini. Labda mtoa hoja wa awali angetaja chanzo cha habari yake napia ni vyeo gani wamepewa watu kwa upendeleo kwa sababu orodha ya viongozi imetolewa. Mwenye hoja aitoe kwa data.
Angalizo langu kuu ni juu ya madai yenye chuki juu ya kikundi fulani au mtu fulani. JF ni kijiwe cha wenye busara, hoja zetu zionyeshe busara zetu.
Ubaguzi wa dini, rangi, kabila nk. ni hatari kwa nchi yetu.
Mamkwe,
Umetbibitisha tu kuwa ni kweli kile chuo cha UDOM kimeshikwa na Waislaam. Huyu Mchaga Kinabo (kama sikosei) kapewa cheo cha Academic. Huko yeye anadeal na wanafunzi, waalimu, masomo, nk wakati huyu anayeshukiwa kuwa MDINI yaani Pro. S. Mlacha na Kikula, ndiyo Maboss wenyewe na ndiyo wameshika MPINI. Hapo ongeza Bilal ambaye ubabe wake ulionekana wakati Mkapa ni Waziri wa Sayari na Elimu ya Juu na yeye ni Katibu Mkuu. Akipata tatizo badala ya kwenda kwa Mkuu wake Mkapa, alikuwa anaenda moja kwa moja Ofisi ya Jirani yaani IKULU.
Hao Waalimu na viongozi Waislaam wanaweza kuwa wachache ila unyanyasaji wao ukawa wa kutisha. Mbona Rwanda na Burundi Watusi walikuwa 10% ila ubabe wao ulikuwa wa kutisha. Wageruman walikuwa wachache tu ila wakatutawala.
Kama jamaa wanapata UBABE kutoka kwa Kikwete basi itakuwa ni too bad. Nasema kama wanatumia huo UISLAAM kujifanyia mambo kienyeji, itakuja kuwa mbaya sana kwao huko miaka ya baadaye. Hii aliifanya Prof. Kigoma Malima wakati akiwa Waziri wa Fedha. Alikuwa akitoa misamaha ya kodi kwa Waislaam kama kawa. Upuuzi huo akaja kuufanya Mkapa na genge lake na matokeo yake akina Mramba tunawaona Kisutu.
JIPANGE na uje hapa UPYA.
Sasa wakristo mnaumwa ugonjwa wa mazoea alio waambukiza baba yenu Nyerere kuwa kila mahala watawala mue nyie tu. Msahau nchi hii ni yetu sote na wale mnaona kichefu kichefu kuona muislamu yupo katika nafasi fulani mtatapika sana itabidi mzoee tu kwani waswahili nao wameenda shule na sasa wanakalia nafasi, vimbeni mpaka mpasuke!
Nyerere hawezi kupumzika kwa amani kama nyie hamtaacha kufauta itikadi aliyowafundisha, yaani RC Kwanza. Tumieni akili kidogo, kipindi cahke nchi ilikuwa ipo nusu UJIMA nusu UJAMAA. Sasa hivi sivyo. Unakumbuka jinsi alivyomshambulia Maleccela akimwita "wee John!" eti kapata tetesi amesilimu, amehongwa na waislamu na on rewards anagombea urais. Hauoni kama hili linamfanya MWALIMU WA UDINI asipumzike kwa amani? Kulikuwa na dhambi gani ya kiuongozi "John" Kuwa "Ismail" na kuchukua madaraka. Hii safari ya kuunga unga ya taifa letu la wajinga (DANGANYIKA) inaanza kutoa ishara za kikomo. MUNGU nijaalie niwe mmoja kati ya hao watakaoihitimisha hii safari
Join Date: Sat Aug 2009
Nyerere hawezi kupumzika kwa amani kama nyie hamtaacha kufauta itikadi aliyowafundisha, yaani RC Kwanza. Tumieni akili kidogo, kipindi cahke nchi ilikuwa ipo nusu UJIMA nusu UJAMAA. Sasa hivi sivyo. Unakumbuka jinsi alivyomshambulia Maleccela akimwita "wee John!" eti kapata tetesi amesilimu, amehongwa na waislamu na on rewards anagombea urais. Hauoni kama hili linamfanya MWALIMU WA UDINI asipumzike kwa amani? Kulikuwa na dhambi gani ya kiuongozi "John" Kuwa "Ismail" na kuchukua madaraka. Hii safari ya kuunga unga ya taifa letu la wajinga (DANGANYIKA) inaanza kutoa ishara za kikomo. MUNGU nijaalie niwe mmoja kati ya hao watakaoihitimisha hii safari