Ukweli kuhusu sensa

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Feb 21, 2011
563
98
Assalam 'Alaykum. Leo napenda na mimi nizungumzie machache kuhusu ukweli juu ya SENSA iliyofanikiwa kwa kiasi kikubwa kama wasemavyo wengine (hata humu pia wamo).
Mambo mengi ambayo yanayofanyika nchini mwetu au hata katika nchi nyengine Afrika huwa yanapatiwa misaada (yanafadhiliwa) ili yaweze kufanyika na kufanikiwa kwake bila ya kuwepo kikwazo cha pesa. Na baada ya misaada hiyo kupatikana na kupangwa bajeti ya kitu husika kinachotakiwa kufanyika, pesa inayobaki, huingia katika makucha ya viongozi wetu waliyo na tamaa na uchu wa pesa na kugawana. Na ni kama hivyo ndivyo ilivyotokea katika sensa.

Viongozi wa kiislam waliiambia serikali kuhusu kuwekwa kipengele cha dini katika dodoso za sensa tokea mapema (tokea machapisho ya madodoso ya sensa hayajachapishwa). Lakini walipuuzwa na kudharauliwa. Serikali ikakataa kuweka kipengele hicho na kutoa sababu zisizo za msingi, kwani walishindwa kukubali kwani kufanya hivyo ni kuenda kinyume na amri ya kanisa. (Laiti wangeliambiwa baada ya machapisho hayo, wangelipata sababu kibao za kusema "ooh! mmechelewa kutuambia" oooh, hatuna pesa" yani blaa blaa zingelikuwa nyingi).

Serikali kwa kuhakikisha lengo lake linafanikiwa bila kipengele cha dini kuwepo, iliwabidi watowe madodoso mapya ya vitambulisho vya Mtanzania ili kuweza kuuliza hadi idadi ya watoto uliyo nao, kitu ambacho hakikikuwepo katika bajeti. Vitambulisho hivyo kwa kiasi fulani pia viligomewa baada ya waislamu kujua mchezo wa serikali juu ya hilo.

Mwanzoni taasisi za kiislam zilionesha msimamo wa ajabu katika kuigomea sensa kwani hata BAKWATA nao walikuwemo katika hilo. Lakini walikuja kubadili msimamo baada ya kununuliwa (kupewa pesa) na serikali na kutakiwa wawe wahamasishaji waislamu kuikubali sensa. Pia serikali ililipia katika vyombo vya habari ili kuhamasisha watu zaidi kitu amacho kimepelekea hata makarani wa sensa kutolipwa pesa zao za awamu ya pili.

Kamata kamata za hapa na pale zilijitokeza na zinaendelea hadi sasa, ila taratibu zinafanyika na wanaokamatwa huachiwa. Yote hiyo ni tisha tisha. Baadhi ya vituo vya polisi wamewekwa makarani ili ukitaka uachiwe huru sharti ukubali kuandikwa kwanza.

Mnamo siku ya kwanza tu, walisifia uendaji wa sensa na kupotosha ukweli wa mambo ili kutuvunja moyo tuliyoweka msimamo wa kuigomea sensa.
Hiyo ndiyo sensa iliyofanikiwa inavyokwenda maana ukianzia mkuu wa nchi hadi wenyekiti wa serikali za mitaa (masheha kwa Zanzibar) na mabalozi wa nyumba kumi wanahamasisha watu na kueneza propaganda zao ikiwa ni pamoja na kutayarisha sms.

Juzi Jumatano ya tarehe 29/08 ilikusudiwa kufanywa maandamao ya kupinga sensa ila yalihairishwa kutokana na kuwa walihofia serikali kuja kupata sababu ya kusema 'maandamano ndiyo yaliyoivuruga sensa' kitu ambacho siyo kweli. Lakini maandamano yatafanyika.
 
Assalam 'Alaykum. Leo napenda na mimi nizungumzie machache kuhusu ukweli juu ya SENSA iliyofanikiwa kwa kiasi kikubwa kama wasemavyo wengine (hata humu pia wamo).
Mambo mengi ambayo yanayofanyika nchini mwetu au hata katika nchi nyengine Afrika huwa yanapatiwa misaada (yanafadhiliwa) ili yaweze kufanyika na kufanikiwa kwake bila ya kuwepo kikwazo cha pesa. Na baada ya misaada hiyo kupatikana na kupangwa bajeti ya kitu husika kinachotakiwa kufanyika, pesa inayobaki, huingia katika makucha ya viongozi wetu waliyo na tamaa na uchu wa pesa na kugawana. Na ni kama hivyo ndivyo ilivyotokea katika sensa.

Viongozi wa kiislam waliiambia serikali kuhusu kuwekwa kipengele cha dini katika dodoso za sensa tokea mapema (tokea machapisho ya madodoso ya sensa hayajachapishwa). Lakini walipuuzwa na kudharauliwa. Serikali ikakataa kuweka kipengele hicho na kutoa sababu zisizo za msingi, kwani walishindwa kukubali kwani kufanya hivyo ni kuenda kinyume na amri ya kanisa. (Laiti wangeliambiwa baada ya machapisho hayo, wangelipata sababu kibao za kusema "ooh! mmechelewa kutuambia" oooh, hatuna pesa" yani blaa blaa zingelikuwa nyingi).

Serikali kwa kuhakikisha lengo lake linafanikiwa bila kipengele cha dini kuwepo, iliwabidi watowe madodoso mapya ya vitambulisho vya Mtanzania ili kuweza kuuliza hadi idadi ya watoto uliyo nao, kitu ambacho hakikikuwepo katika bajeti. Vitambulisho hivyo kwa kiasi fulani pia viligomewa baada ya waislamu kujua mchezo wa serikali juu ya hilo.

Mwanzoni taasisi za kiislam zilionesha msimamo wa ajabu katika kuigomea sensa kwani hata BAKWATA nao walikuwemo katika hilo. Lakini walikuja kubadili msimamo baada ya kununuliwa (kupewa pesa) na serikali na kutakiwa wawe wahamasishaji waislamu kuikubali sensa. Pia serikali ililipia katika vyombo vya habari ili kuhamasisha watu zaidi kitu amacho kimepelekea hata makarani wa sensa kutolipwa pesa zao za awamu ya pili.

Kamata kamata za hapa na pale zilijitokeza na zinaendelea hadi sasa, ila taratibu zinafanyika na wanaokamatwa huachiwa. Yote hiyo ni tisha tisha. Baadhi ya vituo vya polisi wamewekwa makarani ili ukitaka uachiwe huru sharti ukubali kuandikwa kwanza.

Mnamo siku ya kwanza tu, walisifia uendaji wa sensa na kupotosha ukweli wa mambo ili kutuvunja moyo tuliyoweka msimamo wa kuigomea sensa.
Hiyo ndiyo sensa iliyofanikiwa inavyokwenda maana ukianzia mkuu wa nchi hadi wenyekiti wa serikali za mitaa (masheha kwa Zanzibar) na mabalozi wa nyumba kumi wanahamasisha watu na kueneza propaganda zao ikiwa ni pamoja na kutayarisha sms.

Juzi Jumatano ya tarehe 29/08 ilikusudiwa kufanywa maandamao ya kupinga sensa ila yalihairishwa kutokana na kuwa walihofia serikali kuja kupata sababu ya kusema 'maandamano ndiyo yaliyoivuruga sensa' kitu ambacho siyo kweli. Lakini maandamano yatafanyika.

licha yakwamba wewe muanzisha huu uzi ni muisilamu unaejiita Mkwaruzo najua unachoongea na kukiandika hapa wwe mwenyewe kinakusuta kwa kuwa huna uhakika nacho na nifitina za kuchonganisha waislamu wenzio. Pia uislamu umekataa fitina zisizo na msingi.
1.Hakuna sababu ya msingi yakugomea sensa.
2.Mmeshindwa kutoa hoja za msingi za kisomi kwanini sensa iwe haramu.
 
licha yakwamba wewe muanzisha huu uzi ni muisilamu unaejiita Mkwaruzo najua unachoongea na kukiandika hapa wwe mwenyewe kinakusuta kwa kuwa huna uhakika nacho na nifitina za kuchonganisha waislamu wenzio. Pia uislamu umekataa fitina zisizo na msingi.
1.Hakuna sababu ya msingi yakugomea sensa.
2.Mmeshindwa kutoa hoja za msingi za kisomi kwanini sensa iwe haramu.

Kwanza napenda kukwambia kuwa hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislam aliyetokea kusema sensa sensa ni haramu. Umuhimu wa sensa unajuilikana na waislamu pia wanaujua umuhimu wa sensa lakini tumeisusia kutokana na kujua madhara yaliyopo ndani yake (kwa upande wetu) ikiwa itafanyika bila ya kuwepo kipengele hicho.

BAKWATA tofauti na makundi mengine yote yaliyopo Tanzania ambayo yamekuwa yakitetea na kupigania maslahi ya watu wao kama vile walimu, madaktari na taasisi nyengine. Wao walikuwa wakiwahamasisha waislamu kushiriki sensa na kuacha kuigomea kwani ina maslahi na taifa.

Kwani serikali haijuwi umuhimu wa yale mabilioni ya msamaha wa kodi? Hivi pesa ile kama ingilikuwa inapatikana ingeliweza kufanyiwa mangapi kwa maendeo ya taifa letu?
Lakini ni maslahi ya kundi na tabaka fulani fulani nchini mwetu ndiyo maana msamaha wa kodi unaendelea kuwepo.
Au walimu hawajuwi umuhimu wa wao kutoa elimu kwa wanafunzi hadi wao wanafikia kugoma? Wamefikia kufanya hivyo kwa kulinda maslahi yao.
Au na madaktari pia hawajuwi umuhimu wa wao kutoa matibabu kwa wagonjwa ambao wengine hufikia kupoteza maisha kwa mgomo wa madaktari? Mbona hawakurudi nyuma na kutanabbahi kuwa wanafanya kitu ambacho kinakosesha maendeleo ya taifa?
Na waislamu kwa kutambua umuhimu wa kuwepo kipengele cha dini katika sensa, wamekipigania kwa hali zote na kuamua kuisusia sensa kwa kutowekwa kipengele hicho tofauti na walivyofanya BAKWATA wanafiq
 
Assalam 'Alaykum. Leo napenda na mimi nizungumzie machache kuhusu ukweli juu ya SENSA iliyofanikiwa kwa kiasi kikubwa kama wasemavyo wengine (hata humu pia wamo).
Mambo mengi ambayo yanayofanyika nchini mwetu au hata katika nchi nyengine Afrika huwa yanapatiwa misaada (yanafadhiliwa) ili yaweze kufanyika na kufanikiwa kwake bila ya kuwepo kikwazo cha pesa. Na baada ya misaada hiyo kupatikana na kupangwa bajeti ya kitu husika kinachotakiwa kufanyika, pesa inayobaki, huingia katika makucha ya viongozi wetu waliyo na tamaa na uchu wa pesa na kugawana. Na ni kama hivyo ndivyo ilivyotokea katika sensa.

Viongozi wa kiislam waliiambia serikali kuhusu kuwekwa kipengele cha dini katika dodoso za sensa tokea mapema (tokea machapisho ya madodoso ya sensa hayajachapishwa). Lakini walipuuzwa na kudharauliwa. Serikali ikakataa kuweka kipengele hicho na kutoa sababu zisizo za msingi, kwani walishindwa kukubali kwani kufanya hivyo ni kuenda kinyume na amri ya kanisa. (Laiti wangeliambiwa baada ya machapisho hayo, wangelipata sababu kibao za kusema "ooh! mmechelewa kutuambia" oooh, hatuna pesa" yani blaa blaa zingelikuwa nyingi).

Serikali kwa kuhakikisha lengo lake linafanikiwa bila kipengele cha dini kuwepo, iliwabidi watowe madodoso mapya ya vitambulisho vya Mtanzania ili kuweza kuuliza hadi idadi ya watoto uliyo nao, kitu ambacho hakikikuwepo katika bajeti. Vitambulisho hivyo kwa kiasi fulani pia viligomewa baada ya waislamu kujua mchezo wa serikali juu ya hilo.

Mwanzoni taasisi za kiislam zilionesha msimamo wa ajabu katika kuigomea sensa kwani hata BAKWATA nao walikuwemo katika hilo. Lakini walikuja kubadili msimamo baada ya kununuliwa (kupewa pesa) na serikali na kutakiwa wawe wahamasishaji waislamu kuikubali sensa. Pia serikali ililipia katika vyombo vya habari ili kuhamasisha watu zaidi kitu amacho kimepelekea hata makarani wa sensa kutolipwa pesa zao za awamu ya pili.

Kamata kamata za hapa na pale zilijitokeza na zinaendelea hadi sasa, ila taratibu zinafanyika na wanaokamatwa huachiwa. Yote hiyo ni tisha tisha. Baadhi ya vituo vya polisi wamewekwa makarani ili ukitaka uachiwe huru sharti ukubali kuandikwa kwanza.

Mnamo siku ya kwanza tu, walisifia uendaji wa sensa na kupotosha ukweli wa mambo ili kutuvunja moyo tuliyoweka msimamo wa kuigomea sensa.
Hiyo ndiyo sensa iliyofanikiwa inavyokwenda maana ukianzia mkuu wa nchi hadi wenyekiti wa serikali za mitaa (masheha kwa Zanzibar) na mabalozi wa nyumba kumi wanahamasisha watu na kueneza propaganda zao ikiwa ni pamoja na kutayarisha sms.

Juzi Jumatano ya tarehe 29/08 ilikusudiwa kufanywa maandamao ya kupinga sensa ila yalihairishwa kutokana na kuwa walihofia serikali kuja kupata sababu ya kusema 'maandamano ndiyo yaliyoivuruga sensa' kitu ambacho siyo kweli. Lakini maandamano yatafanyika.

ukiwa na takwimu ya kwamba huyu muislamu na huyu mkristo na mwingine huna dini,inasaidia nn katika maendeleo ya taifa hili,mbona waislam wanamisimamo isiyo namisingi wala tija?naww mleta mada tena maelezo yako yakitoto sana hili jukwaa la wasomi,ebu lete hoja zenye mashiko,sio tujadili mada ambazo hazijachujwa.serikali haina dini ila watu wake wanadini elewa hilo,kama mnataka takwimu za waislamu wapo wangapi,hata mkiwa ndani ya msikiti mnaweza pata taarifa hizo
 
maendeleo sio maana yake kujenga barabara na madawa na madarasa, watu wote tuna physical na moral hivyo vyote vinataka kupewa mazingira mazuri ya kuendelezwa, unapoona maendeleo ni vitu huna tofauti na mnyama anayejua kukidhi matanio yake (hawaa), anaamka kula, kunya na kuzakisha hana anachojua, human being tuko tofauti kabisa. wewe si mwisilamu wanachotaka waislam umejuaje umuhimu wake? hata uislam huujui maana ukiujua uislam hutabaki kanisani kupigiwa kengele ya mjinga njoooooo.
wanachotaka muslim let them say na tusiwaemeeeeeeee, huo ni ungwana na busara
 
Hata kipengele cha Makabila akikuwekwa, maana wasukuma walikuwa wanataka kujua wako wangapi?, nadhani na wahindi pioa walikuwa wanataka pia kujua idadi yao, lakini pia idadi ya waliobadili Dini ndani ya miaka kumi pia walikuwa wanataka kuhesabiwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom