Ukweli kuhusu Reborn International

Ukweli kuhusu Reborn International

Nataka ushauri kutoka kwa watu. Huwezi jua. Yawezekana ni kweli na wapo wenye vithibitisho au ni uongo na uthibitisho wa uhakika ukawepo. Kuuliza si ujinga japo kuna kuangalia

Poa mkuu ila kwa jinsi ninavyo wajua watu wa jf utapata majibu nusu watakwambia ni kweli na nusu watakwambia uongo. Ndiyo maana mie nimekwambia jaribu kuvaa ujasiri wewe ni mwanaume usiogope unapotafuta pesa cha msingi watumie hiyo halafu sikilizia mkuu, utakuwa mwalimu mzuri sana wa kujibu maswali kama haya
 
Poa mkuu ila kwa jinsi ninavyo wajua watu wa jf utapata majibu nusu watakwambia ni kweli na nusu watakwambia uongo. Ndiyo maana mie nimekwambia jaribu kuvaa ujasiri wewe ni mwanaume usiogope unapotafuta pesa cha msingi watumie hiyo halafu sikilizia mkuu, utakuwa mwalimu mzuri sana wa kujibu maswali kama haya

Xp ya kutapeliwA. Hahahaahahaa hahahaa
 
Tatizo la ajira limegeuka kuwa mtaji kwa wanaojua kutumia fursa. Matapeli wamepata fursa ya kuwatapeli wasaka ajira.
 
Habari. Mnamo mwezi uliopita kuna organisation inajiita REBORN INTERNATIONAL walitangaza nafasi za kazi kwa malipo ya Tsh 4,530,000/= kwa miezi mitatu kwa position ya Civic and Voters Education Officers concerning with Tanzania Referundum Support Project. Mnamo jana wameanza kujibu waliomba na kuwaambia wamefanikiwa kupata nafasi hizo na kuwaambia kwamba wa scan vyeti vyao na kuvituma kwa mwanasheria wao vikiambatana na Tsh 51,500/= as a verification fee inayotumwa kwenye namba walizoweka ama kwenye akaunti ya Twiga Bancorp Bank.
PLEASE AND PLEASE WADOGO ZANGU MNAIBIWA SO MSITUME HIZO PESA. NAWASILISHA.
 
Ila jamani kwa maisha haya magumu mtu anatoa wapi roho mbaya ya kuwaibia wenye shida na ajira na maisha kwa ujumla?
 
Habari. Mnamo mwezi uliopita kuna organisation inajiita REBORN INTERNATIONAL walitangaza nafasi za kazi kwa malipo ya Tsh 4,530,000/= kwa miezi mitatu kwa position ya Civic and Voters Education Officers concerning with Tanzania Referundum Support Project. Mnamo jana wameanza kujibu waliomba na kuwaambia wamefanikiwa kupata nafasi hizo na kuwaambia kwamba wa scan vyeti vyao na kuvituma kwa mwanasheria wao vikiambatana na Tsh 51,500/= as a verification fee inayotumwa kwenye namba walizoweka ama kwenye akaunti ya Twiga Bancorp Bank.
PLEASE AND PLEASE WENZANGU MNAIBIWA SO MSITUME HIZO PESA. NAWASILISHA.
 
kampuni yoyote inayosema tuma pesa ili uwe verified jua hapo ni uzushi
 
Mimi ni mhanga wa ajira lakini baada ya Kuona nilivyojibiwa nilicheka sana..
 
Lakini pia kuna umhimu wa kwenda Twiga Bancorp kutoa report, maana tumechoka na huu utapeli wa kijinga. Ushauri wangu hapa, kwa yeyote alietumiwa hio email na yuko karibu na tawi la Twiga Bancorp afike hapo bank na kuongea na Branch manager kuhusu account hio, maana vielelezo vyote vipo
 
wala c kwenda mwenyewe twiga bank, ni kwenda TCRA na hyo email wasaidie kumpata huyo mtu thr bank
 
yaani hao jamaa ni wezi kbs zen wanashirikiana mitandao ya cm.kwan ukishatuma hiyo no inakuwa haipatikani tena na wala ukipiga itaita mpk basi
 
Ukiangalia walivyo frame hiyo tangazo ni wasomi kabisa hao?? tatizo la ajira jamani linazalisha wezi stadi.
 
Namba hizo hapo

Asante sana kwa taarifa njia gani ya kisheria zinawapasa kuchukuliwa kwani ni lazima watakuwa kakikundi, ukiwahi tapeliwa hutaogopa kutapeliwa tena ila utamtendeje yule aliyekutapeli.
 
Back
Top Bottom