Mpe salamu mwambie ukawa unaendelea wanachama wa cuf wamempuuza na Eliza boni sasa hana tena habari za ukawa tangu yeye aende Kigali mwambie maalim seif yuko imara tena sawa sawa kesho asisahau kuangalia mafuriko ya watu wakienda kuchukua fomu
Zinazo mhusu Lipumba na safari yake ya Kigali zinanyofolewa fasta ila mpk sasa watu washa connect dots.ukweli unatabia ya kukawia. Why kujifunzA kwanini uchumi wa Rwanda now ?? Hahaha!