Ni ukweli usiopinga kwa sasa hivi race inayotawala katika nyanja nyngi za maisha kuanzia ugunduzi, uchumi nk. Ni watu weupe haswa wa bara la Marekani ya Kaskazini na Ulaya.
Je, unajua kuwa wazungu chini ya mioyo yao wanajihisi na Kujua kuwa wao ni inferior mbele ya watu weusi?
Mtu mweupe Karne Nyingi na miaka kenda Huko nyuma baada ya Kugundua uwezo wake ni mdogo Na ni dhaifu mbele ya Watu weusi waliamua Kuvamia bara la Africa kwa mabavu na Ili tu Kusupres uwezo aliokuwa nao mtu mweusi na hatimae kupelekea kuanzishwa biashara ya utumwa ikiwa Na nia ya Kumaliza kabisa uwezo wa mtu mweusi.
Lakini Baada ya biashara ya utumwa kusimama wazungu walianza kuruhusu watu weusi kushiriki katika nyanja mbalimbali za maisha kama michezo, uchumi nk.
Nataka nikwambie Mungu si Mzungu hakika WATU WEUSI NI BORA mara milioni zaidi ya mtu mweupe.
Mtu mweusi aliporuhusiwa;-
1)Kuimba- kwa sasa ndio ametawala Kila kitu kwenye Muziki, mfano Rege ni ya Bob Marley, Muziki kama Hip hop, Rnb, Country etc kote ni Black people.
2) MCHEZO WA GOLF-Tiger woods Alitokea Na kuonyesha uwezo uliotukuka haujawai kutokea Hapo kabla kwenye mchezo wa Golf.
3)Mchezo w Riadha-Hapa Tunaongelea Kina Bolt wa Jamaica huyu Na wengine Wliwapoteza kabisa Watu weupe na wao kubakia washangiliaji tu.
4)Mchezo wa Tenis-Hapa tunaongelea Serena na Venus hawa wamewacharaza wazungu hadi wanawachia Wimbledon wachezee peke yao wao kwa wao.
5) Basketball-Hapa Kina Jordan, Kobe, Magic, Shark,Lebron, Stephen wa warior hawa na kina Thabeet wamewawfanya Wazungu wawe makocha, marefa na makamisaa wa mchezo ila namba wamekosa kwani uwezo wao ni mdogo mno.
7)Ngumi-Hapa inajieleza all time champions are blacks
And so on vitu ni vingi watu weusi wanawakimbiza watu weupe lakini wao ni dhaifu na hawataki dunia ifahamu kua wao ni dhaifu wakaamua Kushika Media zote ili kupolute ulimwengu na wakaona Hiyo haitoshi wamemiliki silaa kali na haribifu ili Kumtishia yeyote atakaetaka kuwa juu.
Kamwe Hutosikia Mpemba Effect inapewa recognition inayopaswa kupewa.
Hakika mtu mweusi ni bora kuliko wote na amebarikiwa na muumba.
###NOT RACIST ###THIS IS FACT.