Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

Kinachonishangaza mimi ni kuwa mwl amemfundisha mpk rais lkn anadharulika. Tanzania bwana yote yanawezekana.

Sikiliza nikwambie MWALIMU ni daraja wanafunzi humkanyaga mgongoni ili kuvuka 'mto wa matatizo' na kwenda zao, daraja linabaki palepale kwenye mto wa matatizo. Daraja la mto ruvu halistahili kwenda dar kusafisha macho, linatakiwa tu kupitisha magari na abiria ilhali lenyewe hubakia palepale! Ndo ticheri huyo!?
 
We uliyeleta hii mada naona umetumwa kama wale jamaa wa bakwata na maaskofu wa TBC ili kuharibu madai ya madaktari.
Kama kweli wewe ni mkweli weka hapa salary scale za TRA, NHC, Hazina na kwingineko. Halafu utueleze kama hela inayowalipa hawa ni ya serikali au wanaitoa mfukoni mwako!
Na waalimu waache uzembe wa kuchagua viongozi wanaohongwa laki mbili mbili wanasahau maslahi ya fani yao, huku tukishuhudia watoto wao wakiwa waalimu kama wao na kuridhi kudharauliwa na umaskini wa wazazi wao!!!
 
Nani kakutuma utuwekee hizo data!? Nakushangaa kwa kuchagua kundi fulani la watu na kuwawekea mishahara yao hapa, na udanai eti unahusika na huo upangaji!! Mbona hukuweka sector zote kwa sababu unahusika na upangaji wa salary?? TRA, wabunge, na sector kibao hujaweka.! Aliekupa hiyo kazi na wewe pia, wote ni wadhaifu. Kama mnapanga mshahara, sector moja mnaikandamiza mtakavyo pasipo kujali, nitakuheshimu kwa lipi we goigoi??
 
kwani lazima uende serikalini??Kuna Hr mmoja alikuaga standard chattered bank na alikua MD doctor ya hapo MUHAS....tusikariri....kama hapalipi,chapa lapa.....Life is too short to keep on complaining.....
 
U r right 100%, walimu wengi siyo kwamba walipenda ila kwa sababu hawakuwa na option nyingine. Mimi ninamifano mingi tu, watu wamefail ikabidi wakimbilie ualimu.

 
hapa utaona wahasibu, maafisa maendeleo/ustawi, watu wa ardhi, engeners, HRO n.k hawajatajwa cjajua nao hal ikoje.

Mleta mada hii hajafafanua kitu kimoja au watu hawajamuelewa ktk hili,

Ukisoma vizuri maelezo hayo ya waraka utaona kuwa Afya ndo wanaongoza kwa mshahara, wakifuatiwa na Elimu na mwisho ni kilimo na mifugo.

Idara ya Kilimo na mifugo viwango vyao vinafanana na utawala ambao umewataja ambao ni uhasibu, maendeleo ya jamii, utumishi na utawala, hapa umaongelea afisa utumishi, watendaji, masjala pia utawala unagusa maliasili, ardhi, misitu, nyuki,mipango.

Hoja ya ya msingi nadhani kujadiliwa ni kwa nini serklali inawagawa watu wake ktk makindi? Au ndo tunarudi katika ukoloni wa kuwagawa watu ili uwatawale?(divide and rule)

Kugawa watumishi kisekta na ukoloni wa kuwafanya kila kundi lijione bora kuliko lingine, hivyo kuongezwa mshahara hutegemea bargaining power ya sekta hiyo. Utaona ndo mana kundi la utawala liko chini kwa mana mgomo wao hauna immediate effect kwa serikali na huduma zinazotolewa, lakini afya na elimu wanayo, na ndo mana wana bargaining base and power, hivyo serikali inawaogopa na madhara ya migomo yao.

Ushauri wangu kwa serikali hii, ichukulie watumishi wote ni sawa na base ya kuongeza mishahara ni cost of life and not othetwise. What a doctor eats is what an accountant also eats. Don't creat classes that one day you will in trouble to close thier gapes.

Thnx
 
Mkuu hapo umeongea jambo la msingi. Kwa nini mishahara ya serikali hata kwa kada moja haifanani?

Kufanana ni only partly the issue the bigger issue ni kwamba hawa waajiriwa hawategemei hizi tarakimu - the really pay is elsewhere not here. tusipofika mahali tukawa tayari kuyadiscuss hayo bado tutabaki kulumbana tu leo ni education, kesho health next polisi and on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…