Ukweli kuhusu mbegu za kiume (sperm) !

Ukweli kuhusu mbegu za kiume (sperm) !

*TAFAKARI NA KUCHUKUA HATUA*✍

```Biolojia inasema kuwa baada ya tendo la ndoa, mbengu za kiume zinazoingia kwa mwanamke hufikia karibu milioni 300 na zote huanza kuogelea kwenda kukutana na ovum.

Kati ya mbegu hizo milioni 300, ni mbegu 500 tu zinazoweza kufikia sehemu husika (kwenye ovum). Mbegu nyingine huchoka mapema na kufa njiani. Kati ya mbegu 500 zinazofanikiwa kufika kwenye yai basi mbegu moja tuu ndiyo hufanikiwa kushinda na kutengeneza kiumbe. Mbegu hiyo ni wewe unayesoma ujumbe huu. Kama usingeshinda mbio zile, na kuwashinda wenzio milioni 300 usingekuwepo duniani leo.

Umewahi kufikiri juu ya hili? Biolojia inatueleza kwamba ulikimbia mbio na kuwashinda wenzio milioni 300 bila macho, bila miguu, bila mikono.

Ulikimbia mbio bila ya elimu yako na ukashinda. Ulikimbia bila cheti na ukashinda. Ulikimbilia bila msaada wa mtu mwingine yeyote na ukashinda. Je nini kinakufanya ufikiri kushindwa kwenye maisha hadi kukata tamaa?

Kwa sasa una macho, una miguu, una maarifa, una ujuzi wa neno la Mungu kwanini ushindwe? Kwanini ukate tamaa? Muombe Mungu, kuwa na maono, kisha weka mipango thabiti, utafanikiwa. Usikate tamaa hata siku moja kwani tayari ulishakuwa mshindi kwenye mashindano ya watu zaidi ya millioni 300, kwanini ushindwe leo?

Changamoto ni sehemu ya maisha yetu, lakini kamwe zisikukatishe tamaa. Kuwepo kwako duniani ni mpango kamili wa Mungu. Hukuja duniani kwa bahati mbaya, lipo kusudi la uwepo wako. Hakikisha unalitambua kusudi hilo na kulitimiza. Haijalishi unapitia kwenye wakati gani kwa sasa, amini kwamba ulizaliwa kushinda.!```
Ni kweli, lakini... Wakati unakimbia huku ukiwa mbegu mkielekea kwenye yai, mbegu wenzio walikuwa wanahangaika na mbia tu... wala hawakujihusisha na kukupiga "ngwala", kukuvuta "mkia", kukuroga, kukuibia, kukutukana, kukusengenya... Hawa "mbegu" tunaoishi nao, wanaemda kwa waganga ili ufeli, wanaiba ulichokwisha kukipata, wanakudharau kwa kiwango cha juu etc

Hivyo basi ili tufanikiwe, tusiangalie mazingira tuliyopita wakati tukiwa "MBEGU", yale yalikuwa VERY IDEAL.... temperature haiwi regulated na wewe "MBEGU", chakula cha kukufanya uendelee kuwa "MBEGU" na hatimaye mimba, hutafuti wewe "MBEGU"....etc

Ngali K
 
Mkuu asante sana " kwa hii motivation" pamoja na ubora na unguli wote wa huu mtandao pendwa wa Jf "" lakini nachelea kusema "" huwa " inakosa mada kama hizi " kama zipo huwa ni kwa uchache mnoo"
We have more critics than Motivations, most are pessimistic than its opposite
 
Ni kweli, lakini... Wakati unakimbia huku ukiwa mbegu mkielekea kwenye yai, mbegu wenzio walikuwa wanahangaika na mbia tu... wala hawakujihusisha na kukupiga "ngwala", kukuvuta "mkia", kukuroga, kukuibia, kukutukana, kukusengenya... Hawa "mbegu" tunaoishi nao, wanaemda kwa waganga ili ufeli, wanaiba ulichokwisha kukipata, wanakudharau kwa kiwango cha juu etc

Hivyo basi ili tufanikiwe, tusiangalie mazingira tuliyopita wakati tukiwa "MBEGU", yale yalikuwa VERY IDEAL.... temperature haiwi regulated na wewe "MBEGU", chakula cha kukufanya uendelee kuwa "MBEGU" na hatimaye mimba, hutafuti wewe "MBEGU"....etc

Ngali K
Maintain your enviroment with successful people. Avoid mediocre groups
 
Umeshindana na mbegu milioni 300 kufika kwenye ovum, wakafanikiwa 500 tu kufika kwenye yai, na humo kwenye yai kafanikiwa mmoja tu kutengeza kiumbe.

Kwa sababu sasa ivi kuna 7.6 Billion people on Earth comparing to 300 million sperms. Saivi tunatakiwa tushindane na 7.59999999... na sio tena 300 million mkuu ngoma imezidi kuwa ngumu.... utapigania life itafika wakati itabidi wachache watusue wengine wabaki kulala hoi.... muhimu jitihada
 
Ni kweli, lakini... Wakati unakimbia huku ukiwa mbegu mkielekea kwenye yai, mbegu wenzio walikuwa wanahangaika na mbia tu... wala hawakujihusisha na kukupiga "ngwala", kukuvuta "mkia", kukuroga, kukuibia, kukutukana, kukusengenya... Hawa "mbegu" tunaoishi nao, wanaemda kwa waganga ili ufeli, wanaiba ulichokwisha kukipata, wanakudharau kwa kiwango cha juu etc

Hivyo basi ili tufanikiwe, tusiangalie mazingira tuliyopita wakati tukiwa "MBEGU", yale yalikuwa VERY IDEAL.... temperature haiwi regulated na wewe "MBEGU", chakula cha kukufanya uendelee kuwa "MBEGU" na hatimaye mimba, hutafuti wewe "MBEGU"....etc

Ngali K
Aiseeee...
 
Umeshindana na mbegu milioni 300 kufika kwenye ovum, wakafanikiwa 500 tu kufika kwenye yai, na humo kwenye yai kafanikiwa mmoja tu kutengeza kiumbe.

Kwa sababu sasa ivi kuna 7.6 Billion people on Earth comparing to 300 million sperms. Saivi tunatakiwa tushindane na 7.59999999... na sio tena 300 million mkuu ngoma imezidi kuwa ngumu.... utapigania life itafika wakati itabidi wachache watusue wengine wabaki kulala hoi.... muhimu jitihada
Aisee
 
hata kombe la dunia pamoja na kwamba timu zote zilizochaguliwa kushiriki ni nzuri lakini stashinda mmoja tu; Tazama kina mess walivyoharibu,
sasa rudi kwenye hoja yako, uliposhinda kutoka kwenye mbegu 300mil kumbuka ulishinda kuja kwa washindi wenzio, I mean ulishinda ili uje kushiriki na vipanga wenzio,
Noma sana unakutana na vipanga kama mm hapa utanishindaje,?
Dunia ni survive 4 the fittest!!!
Ulishinda ndondo cup haimaanishi utatoboa WorldCup unaweza ishia kuwa mshabiki tu!
 
Wale walikua goigoi wenzako, Kumbuka waliopo duniani ni washindi wenzako kwahiyo lazima apatikane wa kwanza na wa mwisho
 
*TAFAKARI NA KUCHUKUA HATUA*✍

```Biolojia inasema kuwa baada ya tendo la ndoa, mbengu za kiume zinazoingia kwa mwanamke hufikia karibu milioni 300 na zote huanza kuogelea kwenda kukutana na ovum.

Kati ya mbegu hizo milioni 300, ni mbegu 500 tu zinazoweza kufikia sehemu husika (kwenye ovum). Mbegu nyingine huchoka mapema na kufa njiani. Kati ya mbegu 500 zinazofanikiwa kufika kwenye yai basi mbegu moja tuu ndiyo hufanikiwa kushinda na kutengeneza kiumbe. Mbegu hiyo ni wewe unayesoma ujumbe huu. Kama usingeshinda mbio zile, na kuwashinda wenzio milioni 300 usingekuwepo duniani leo.

Umewahi kufikiri juu ya hili? Biolojia inatueleza kwamba ulikimbia mbio na kuwashinda wenzio milioni 300 bila macho, bila miguu, bila mikono.

Ulikimbia mbio bila ya elimu yako na ukashinda. Ulikimbia bila cheti na ukashinda. Ulikimbilia bila msaada wa mtu mwingine yeyote na ukashinda. Je nini kinakufanya ufikiri kushindwa kwenye maisha hadi kukata tamaa?

Kwa sasa una macho, una miguu, una maarifa, una ujuzi wa neno la Mungu kwanini ushindwe? Kwanini ukate tamaa? Muombe Mungu, kuwa na maono, kisha weka mipango thabiti, utafanikiwa. Usikate tamaa hata siku moja kwani tayari ulishakuwa mshindi kwenye mashindano ya watu zaidi ya millioni 300, kwanini ushindwe leo?

Changamoto ni sehemu ya maisha yetu, lakini kamwe zisikukatishe tamaa. Kuwepo kwako duniani ni mpango kamili wa Mungu. Hukuja duniani kwa bahati mbaya, lipo kusudi la uwepo wako. Hakikisha unalitambua kusudi hilo na kulitimiza. Haijalishi unapitia kwenye wakati gani kwa sasa, amini kwamba ulizaliwa kushinda.!```
umefikiria mbali sana we jamaa
 
Umeshindana na mbegu milioni 300 kufika kwenye ovum, wakafanikiwa 500 tu kufika kwenye yai, na humo kwenye yai kafanikiwa mmoja tu kutengeza kiumbe.

Kwa sababu sasa ivi kuna 7.6 Billion people on Earth comparing to 300 million sperms. Saivi tunatakiwa tushindane na 7.59999999... na sio tena 300 million mkuu ngoma imezidi kuwa ngumu.... utapigania life itafika wakati itabidi wachache watusue wengine wabaki kulala hoi.... muhimu jitihada

Hizo ni dunia mbili tofauti

Majibu kuntu.
Duniani kuna husda, vihoro..... Watu wako bize kuhangaika na wewe ili usisonge mbele, tifauti na tumboni.
 
Back
Top Bottom