mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 945
- 772
Wanawake wa siku hzi hawatongozwi wanakuja wenyewe we una score tu.
Ni jinsi unavyojiweka...play like ur the prize/trophy to be won utaja niambia. Otherwise mtaishia kurusha vocha tu wenzio wala. Tehe
Technic zenu zina uhusiano??Mwanaume ukiona unaambiwa hujui kutongoza basi huna hela au bahili..
Wanawake wa siku hzi hawatongozwi wanakuja wenyewe we una score tu.
Ni jinsi unavyojiweka...play like ur the prize/trophy to be won utaja niambia. Otherwise mtaishia kurusha vocha tu wenzio wala. Tehe
Hahahah,hilo litakuwa zoba limetoka Kishumundu..kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Haaaaaa huna hela au bahiliMwanaume ukiona unaambiwa hujui kutongoza basi huna hela au bahili..
"Kutongoza kuna Maneno & Mazingira yake, wewe jiulize mtu anatongoza demu asubuhi hata mswaki hajapiga guess nn kitatokea?"Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi zinazoponda wanaume wa siku hizi kuwa hawajui kutongoza. ..
Nikashangaa sana.... sasa kama wanaume hawajui kutongoza inakuwaje wanawapata wanawake.
challenge nnayoleta jamvini kama kweli kuna mafundi wa kutongoza wamewahi kuwatongoza ....embu weka humu hiyo mitongozo inayoweza shinda tuzo za Grammy ili vijana wa jifunze. ..
nitahitimisha kuwa mlikuwa mnazoza tu baadae.
kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
kuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu
Ha haaa tena siajabu hapo amejikakamua mpaka mwishokuna zoba moja lilishawahi kuniambia "nataka nikakufiche mahali"
Hapo ndio katongoza kamaliza ***** zake
Kuna tongozo zinachefua mxyuuuu