Ukweli kuhusu ishu ya Stephen Masele

Tatizo la Ndugai ni maamuzi ya kukurupuka bila kufanya uchunguzi. Kama Masele ana makosa, Spika angetakiwa kumchunguza na kumchukulia hatua za busara sio kuropoka hadharani, akichemka kama issue ya CAG anaishia kuishi kwa aibu!
cag anadunda tu, angeagana na nyonga kwanza kabla ya kuruka juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…