Ukweli kuhusu dunia (earth)

.mkuu mheshimiwa katoa mfano ikiwa umesimama juu ya gar na sio upo ndan ya gari


Kuhusu dunia kuwa FLAT hata mm napingana
We needs more explanation and evidences to prove ur theory(claims)
 
mtoa mada unamaanisha kuna sehemu ukifika utasema apa dunia imeishia?,na kama ipo flat na hakuna gravity kwanini maji ya bahari ayamwagiki uko mwisho ni sawa na kumwaga maji juu ya meza?
Muulize kwann kuna kupwa na kujaa kwa bahar

Kama dunia kwel ingekuwa flat hayo maji yanayondoka yasingerudi
 
Unaakili sana ww
 
Hao NASA waongo tu.wanaatuchorea DUARA kwa rangi zao halafu wanasema wamefika mwezini kupiga picha dunia kumbe ni fake photos,hakuna kitu km hicho dunia bado ni tambarare kinachoonekana kuwa dunia ni DUARA ni muundo wa Jicho pamoja na horizon tu.kwani hata hizo camera nazo zimetengenezwa kwa mfumo wa Jicho.hakuna kitu kama hicho wazungu hasa hao NASA waongo wakubwa ,hakuna hata picha moja waliowahi kupiga kuonesha dunia kiuhalisia ,wao wanaona mabara tu ambayo kwa jicho wanaona ni DUARA lkn sio DUARA
Dunia kama ni DUARA maisha yasingewezekana. .
 
Huyu alotoa hija ana akili sana. Kwanza tusiamini vitu vya wazungu. Maana wao walifikiri tu wakasema na hawana uthibitisho wowote. Kumbuka huko nyuma dunia na wanafunzi wote waliaminishwa dunia ni babpa kama meza na kuna mtu alikuja kusema dunia ni duara akanyongwa. Ila leo hii kila mtu anasema dunia ni duara. Hivyo alosema dunia ni bapa leo aweza akawa sahihi ama la. Na atakuwa sahihi tu akilata tangible evedence. Na sio kumshambulia
 


duh, hayo maji yanamwagika hapo yanavutwa na gravity gani kwenda huko yanakomwagikia
 
Dhana ya dunia kuwa ni Duara inabidi tutafakari upya. Kuwaamini wakina newton katika dunia ya leo yataka moyo. Mfano mdogo, Katika ramani ya Dunia inayoonekana picha yake huwa inaonesha dunia nzima, ingekuwa duara tusingeona dunia nzima kwa ukubwa wa dunia. Pili, hakunaga picha kutoka chini iliyopigwa tuone umbo la antctica, tatu kuna mbingu ya blue juu tunaiona, kila sehemu ya dunia ukienda unaiona, je nayo ni duara.
 
Mleta mada hivi umesimuliwa na nani hii kitu ukiacha sayansi tuu mimi mwenyewe kwa macho naona dunia ni duara maana ingekuwa flat tungekuwa tunaziona meli baharini kuanzia chini hadi juu kutokea mbali na mimi huku wa kusini ningeona kilele cha mlima kilimanjaro vizuri na unavosema kwa speed ya dunia helikopta ingeganda na kusubiri mji unaotaka hivi dunia si inazunguka na anga hewa lake? Au niko chaka na mimi

Sent from my GT-I9305 using JamiiForums mobile app
 
Kama dunia ni flat tuambie umbo lake likoje ni mviringo kama sarafu au ni mstatili au umbo gani?? Na kama ni mstatili au duara mfano wa sarafu tupia picha tuone ukingo wake.
Umetisha sana mkuu cha kushangaza wanaobisha wao hawaleti fact na kutuonesha uhalisia wa hiyo dunia flati inaumbo gani, mraba,mviringo au pembetatu au iregural shape tusubiri atujibu

Sent from my GT-I9305 using JamiiForums mobile app
 
mfano wako huo uliotoa ni kwamba ukisimama juu ya hilo gari ambalo lipo kwenye mwendo halafu ukaruka juu basi utatua pale pale kwa kuwa na wewe pia unakuwa kwenye mwendo sawa sawa na hilo gari.

mkuu msome Newton na umuelewe[/QUOTE]

Hapo unadanganya mkuu ukiruka juu kumbuka kua unauacha uso wa gar swala la kusema kua unapokua kwwnye gar utakua na ww unasafiri hlo nakubali lakn kumbuka kinachofanya usafiri ni ni kwa sabab upo kwenye hlo gar linalosafiri pindi utakapoacha uso wa gar kwa kuruka juu hautakua na kitu cha kusababisha ww uendelee kusafiri kwa mwendo sawa na hlo gar na ukumbuke hakutakua na power ya kukupush uende sawa na mwendo wa gar ambalo umeshaliacha kwa wakati huo na kutokana na athari ya uzito bas utasafiri lakn hautaenda umbali mrefu itakua kdogo (wakat huo lile gar lipo katka mwendo uleule wa awali) bas hapo hautatua pake ulipokua awali
Ukitaka kuthibitisha chuKua pikipiki mpakie mtu af endesha kwa muda flan kisha mwambie uliyempakia aruke juu akisharuka bas wala usiende mbali paki pikipiki yako af kamuulize nn kmetokea aliporuka
Npo tayar kurekebishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In addition hapo ulipoongelea ..ni kwamba Effect ya gravity ina depend na factor moja kubwa sana ambayo ni weight( uzito) wa kitu ...

Kama una mass kubwa ,gravitation effects itakuwa kubwa kwako kuliko kitu chenye uzito mdogo..
Refer gravitation mechanics...

kitu chenye uzito mdogo( mbu,manyoa,sijui nini na nini ) vina uzito mdogo hivyo kusufer gravitation effects inakuwa ngumu sana.....

Halafu kitu kingine kinachosababisha Gravitation iwepo ni kwa sababu una experience mass effect...

Usingekuwa na mass wala gravity usingeihisi katika maisha yako...

Gravity is the product of spacetime bending ...

The distortion of spacetime ndo tunapata pulling effects( gravity ) ambayo force yake ndo tunaita gravitational force..

The more you have weight the more una suffer gravity effects...and vice versal...wadudu hawajui kama kuna gravity ..

Ila kuna mechanism za antigravity ambazo ndo watabe hawataki kutueleza make ukizijua tu hata wew hutasufer hiyo gravity effects...utakuwa na uwezo wa kuruka juu bila shida yoyote. ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…