Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Hawatokuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfate mila zao. Jamaa hana hata aibu duh! mwambieni aende Hiyo mifuko mingine apime ufanisi wa utendaji dhuluma uzandiki nk. Nenda katafute data msemaji hiyo movie ulikuwa hujajipanga. pengine hujui nchi inaendaje!!
 

Ndugu kwani VIPIMO vya ufanisi ktk hii mifiko ni nini mkuu?investment returns za Nssf zikoje ukilinganisha na mifiko mwingine?ukitaka kujua ukweli watafute watu wa actuarial watakupa uhalisia wa hii mifiko ila nakumbuka Nssf RRR ulikuwa -3, kama sikosei
 



We fala kweli...Umeona Mashirika mengine ya Serikali walivyojaa Wakristo? Ukitaka kuongea chunguza kwanza. Kachunguze TRA, BIMA, PPF na mengine ndipo uje ukaongee hapa
 
We fala kweli...Umeona Mashirika mengine ya Serikali walivyojaa Wakristo? Ukitaka kuongea chunguza kwanza. Kachunguze TRA, BIMA, PPF na mengine ndipo uje ukaongee hapa


Ndugu hakuna jinsi dau asifungwe,syo ushabiki ila haki ya mwizi ni kufungwa na mukubwa kitakachomfunga ni viwanja hewa alivyonunua,mashamba yasiyo na tija,over inflated ya cost ya daraja na majengo,ishu ya nida bilioni 20 nk,msitete mijizi eti kwa sababu tu ni dini yako,
Mbona maimu hatetewi,mbona mramba na yona hawakutetewa,mbona DG wa TBS ekelege hamkumtetea.wezi hali zao kifungo tu Hamna namna
 
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.

Ikitoka hapo ije chagadema
 



Afungwe kwa kosa la wizi la sio kuzungumzia udini hapa...Ukisema issue ya udini udini upo katk taasisi nyingi tuu za serikali zimejaza wakristo kibao waislam wamenyamaza. ....Ongeleeni mtu kama mtu ila sio dini...Issue ya ufisadi ni yakila mtu..Wengi wamefanya ufisadi si Mkristo vile vile Muislam....
 
UDINI UDINI UDINI UDINI daah! aliyesababisha mpaka Watanzania tuone fahari kuongelea UDINI NA UKABILA kwa kasi namna hii kwakweli Mungu asimuache bure kwa hii chuki aliyotusambazia
 

mkuu ajira za upendeleo zilianza mwaka 2006 hadi january 2016,hebu fikiria ni kwanini kipindi hicho ndo dau alianza upendeleo,na wote waloajiriwa iwe ni ngazi ya management au officer kurudi chini ni 9:1 sasa ukitaka kujua kusema mashirika mengine yana management wakristu wengi ni kweli ila kwa nssf management na staff wa kawaida ni kama watu wanavyolalamika,ila mwisho umefika sasa tupige kazi wata ji adjust mdogomdogo
 
kama mtu anasifa ya kuajiriwa lazima aajiriwa bila kujali kigezo cha dini yake. Napata ukakasi kuona watu wanaongea sana pale waislam wengi wanapopata ajira ilhali wanazo hizo sifa za kuajiriwa.

Mbona mashirika mengine ya kijamii yamejaa wakiristu wengi zaidi wenye sifa mbona watu hawaongei, Kama dau angeajiri waislam wenzake bila vigezo na sifa kungekuwa na hoja ya kujadili. anyway HUU NI MTAZAMO WANGU.

Kama unaushahidi wa Udini wa Dr Dau katika kutoa ajira utoe uma ufahamu
 
Wajuzi naomba kufahamisha Juu ya Dr.Dau wa NSSF namna Utumishi wake ulivyokoma pale NSSF.

Jana katika uzinduzi wa daraja la Kigamboni(Nyerere) nilimsikia Mkuu wa nchi wakati anamshukuru Dr.Dau Kwa mchango wake wa ujenzi wa daraja alisema ni mstaafu.

Katika kumbukumbu zangu huyu Dr. aliondolewa pale Kwa kutenguliwa.

Ukweli ni upi?
 
nnina mashaka namleta mada mbona kama eneo kubwa amezungumzia dini na ukabila kwa eneo kubwa kwanza naona angesema yeye dini gani alafu tuangalie na japo shirika lingine kama ppf kama kuna wapemba au wapemba aturusiwi kufanya kazi hili bara turudi kwetu sijamuelewa huyu mtu anayeleta hii mada na if mkaicha kwahiyo wapemba sisi sio watanzania
 
 
Aliyevurunda huyo kapiga picha na raia namba moja Tanzania. wewe na mi chuki yako isiyokuwa na kichwa wala miguu naona unaongeza tu makapu ya ndimu. Uvivu wa fikra ndio unaokutawala mwenzako tena mwanaume mwenzio anazidi kuchanja mbuga kwenye suala la maendeleo wewe baada ya kujifunza uko nyuma ya keyboard unapiga majungu na malalamiko kama kama Punguani. Unaridhika na buku 4 za ufipa.

Elimu yenyewe ya kuunga unga na kama uliingia kazini kipindi cha NPF enzi za Mkulo nyie ndio mliokuwa Mashamba boy kupewa nafasi na mnataka kutumia sababu ya kuwa kazini muda mrefu kupewa vyeo wakati sifa hamna. Tangu enzi hizo hata kama uliingia bado kijana mpaka leo utakuwa mtu mzima, na post unazoweka humu utumbo mtupu. naelewa sasa kwanini hawakupi cheo maana wewe ni jipu na jitu lisilokubali kubadilika thats y utazeeka na hicho kidogo ulichonacho waakati hao unaowapiga majungu wanatusua na kuzidi kupata maendeleo.

JIFUNZENI, BALOZI MTEULE DR. DAU ANA ELIMU YA DUNIA NA ELIMU YA DINI NA AMEFANIKIWA KWA SASABABU HATEGEMEI TU ALICHOSOMA DARASANI BALI PIA ANA TUMAINI NA MUNGU WAKE NA HAJIFICHI. NYINYI MNAOENDEKEZA ELIMU ZA DARASANI MNASHINDA KWENYE MABAA AU KUPIGWA MITI KAMWE HAMTAKUWA KAMA YEYE.

NA KIKUBWA AMESHAONYESHA KWA NADHARIA YAKO YA UDINI KUWA UKIMTEGEMEA ALLAH (S.W) HAKIKA MAMBO YAKO YATANYOOKA. TOROKA UJE ILI NA WEWE UWEZE KUPATA HATA KA BINGO KIDOGO KAKUWA MBIA MWENZA NEWCASTLE UNITED USING'ANG'ANIE TU HUKO KWENYE MASANAMU JUA HAYALIPI.
 

Attachments

  • 13051531_1129481750426638_1956601341495157194_n.jpg
    50.4 KB · Views: 50
Wa Tanzania kwa mtindo huu sijui kama tutavuka na hasa mambo ya udini na kujiona tu wabora kwa iman zetu, kwa muda mrefu wakristo wanaamini wao ni wasomi na wanahaki ya kupata nafasi za ajira na hasa serikalini na badala kuliangalia hilo kwa uzur na ubaya, ni nzuri kuwa na ajira kwa jamii fulani ya kabila au hata imani moja lakini in long run italeta matatizo bila kuandaa mazingira ya kubalance kwa wenzi wako mbele ya safari na nachokiona kuruhusu hali ya kutokuwa na sawa na ujivuni wa 'the winner take all' ni kutojua tu hatari ya mbeleni na ni jukumu la serikali kuandaa mazingira kutokulea mazingira haya

BTW. Waislam always wanasema toka uhuru mpaka leo nafasi za ajira asilimia kama 70 ama 80 ni za wakristo sababu wamesoma kama inavyoonyeshwa sasa je ni kweli kwa usomi wao kama Taifa kuna maendeleo ya kujivunia kwa ujumla wetu
 
Udini upo tena sana kuna watu wameajiriwa ndani ya siku 2 Na hakuna usahili wala tangazo la ajira Na tunawafahamu kisa waislamu
 
Na labda Dkt Dau ameenda this far kwa ubunifu wake pamoja na elimu yake na kwa kujua watu wa iman fulani hawaamini kwa sababu wameaminishwa nafasi kama hiyo mtu wa iman ya Dkt Dau haiwezi that why he wants to prove them wrong na sababu amefanya makubwa (sina maana kwa mbaya yake tusimuhukumu) na kwa tabia yetu watanzania tunapenda ndoto ndogo ndogo anae dream big na kutenda inawaogopesha wengine sub- conscious na mbaya zaidi anahukumika na kwa mtizamo wetu hasi sababu zaidi ya Iman yake why ameweza na labda atawaamsha wengine wa iman yake kwamba ukiaminika unafanya tena makubwa ni muda wa kukubali dunia inabadilika tuvumiliane na tu kama Taifa

Please sijasema mtu asihukumie kwa utendaji mbovu nachosema mtu kuonyeshwa ubaya wake hasa sababu wa iman tofauti nawe ndo shida ilipo
 
Mkuu,stop with racisting,,,,,,hv unafuatilia uteuzi anaoufanya Magufuli?Dr alipigiwa kelele sasa keshaondolewa bado mihemko ya nini?
Futa like yangu imekuja kimakosa ...wewe.Na.woote wwenye TABIA chafu Na ushamba Wa kuquote Habariiiii yoote..So.what..andika tu utaeleweka.unamaanisha.Iyo.TOPIC husikaa..Sijui.Ndo kukimbiaa Umandee
 
è
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…