Mtagingwembe
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 377
- 91
Ndugu CCM ni wavumilivu katika lipi? Au unamaanisha kuwa wanavumilia katika kuendelea kutuibia rasilimali zetu hata kama tunawasakama? Weka wazi basi ni uvumilivu gani mlionao ccm. Vinginevyo sisi hatulali mpaka kieleweke, kwani mmetunyonya vya kutosha, mmetuumiza vya kutosha, mmetudhalilisha vya kutosha katika nchi yetu sote, sasa imetosha.