Utakuwa umebaki peke yako husiyejua chimbuko la Lugha ya kiswahili.Chimbuko la kiswahili ilikuwa shida kuelewa. Hii ya herufi itakuwa balaa
InterestingHivi ni nani aliyegundua herufi A-Z?? wapi aligundua? Vigezo vipi alivyotumia?? Au zilikuwepo naturally?? Ideas please...
A-Z herufi zote zinaitwa Alphabet. Ni maneno ya Kigiriki ambapo ndipo maandishi yalianzia (kwa upande wa Ulaya -maana inasemekana Wachina wamekuwa wanajua kuandika kwa zaidi ya miaka elfiu kadhaa). Alpha ndio herufi ya kwanza (ambayo kwa Kiarabu inaitwa Alif). Za Kiigiriki zinaendelea beta=b, theta =c na kadhalika na herufi ya mwisho ni Omega. Kwenye Kiarabu nazo herufi zinafanana na hizo kwa kiasi fulani. Sijui Kiarabu lakini najua kuna Alif, bee tee thee n.k. Wataalamu wa lugha hiyo wanaweza kueleza zaidi
Ah"Alphabet" ni Kiarabu.
Alph = Alif
Be = Be
T = Te
Alif, Be, Te. Ndipo lilipotokea neno "alphabet".

naona shangazi umelazimisha neno 'ALPHABET' lionekane asili yake ni kiarabu kwa kujaribu kuunga unga hili umkosoe huyo bwana aliyekuwa upande wa wagiriki lakini inaonekana kwa kiasi fulani yeye kidogo ndio maana inaweza kuja..herufi hizo zilianza kutumika baada ya kuanzishwa kampuni ya A to Z huko jijini Arusha-Kisongo mnamo mwaka 982 BC
"Alphabet" ni Kiarabu.
Alph = Alif
Be = Be
T = Te
Alif, Be, Te. Ndipo lilipotokea neno "alphabet".