nkungwe123 JF-Expert Member Joined Mar 17, 2014 Posts 444 Reaction score 95 Apr 9, 2014 Thread starter #41 msabila5 said: Uzuri sio makalio ila ni tabia vingine nmaajaliwa Click to expand... Ni kweli. Wenye tabia nzuri wengi wana maumbile ya kawaida. Wengi wape....
msabila5 said: Uzuri sio makalio ila ni tabia vingine nmaajaliwa Click to expand... Ni kweli. Wenye tabia nzuri wengi wana maumbile ya kawaida. Wengi wape....
badiebey JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 5,875 Reaction score 3,117 Apr 9, 2014 #42 Mtaendelea kuoa vituko??hahahhahahha poleh yenu
nkungwe123 JF-Expert Member Joined Mar 17, 2014 Posts 444 Reaction score 95 Apr 9, 2014 Thread starter #43 badiebey said: Mtaendelea kuoa vituko??hahahhahahha poleh yenu Click to expand... Hahahaaaa.... maisha ya kweli sio ya mauzo mtaani bali utendaji wa dhati. Na kutenda kwa dhati ibahitaji utulivu wa kichwa. Hao unaowaita vituko wametenda makubwa ktk maisha halisi kuliko wa maumbile tata
badiebey said: Mtaendelea kuoa vituko??hahahhahahha poleh yenu Click to expand... Hahahaaaa.... maisha ya kweli sio ya mauzo mtaani bali utendaji wa dhati. Na kutenda kwa dhati ibahitaji utulivu wa kichwa. Hao unaowaita vituko wametenda makubwa ktk maisha halisi kuliko wa maumbile tata