UKUTA Dar kuanza tarehe 27

UKUTA Dar kuanza tarehe 27

ukawa2020

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2016
Posts
339
Reaction score
1,315
Wanajanvi na watanzania wote karibu tujenge ukuta wa pamoja.
6f4dfb07-0090-4c3a-84cb-745342871426.jpg
e9c70c44-7ac4-41d3-9348-3e20c73ddd9e.jpg
 
Hili tangazo fake...! Hakuna muda (saa ngapi) wa kuanza maandamano wala mikutano hiyo....!
 
Hahahaaa polisi watahangaika miezi sita mfululizo mpaka wasahau familia zao,tena ilibidi kila wilaya iweke tarehe yake.

Siku ya kwanza wanaweza kuvaa beji nyeusi au kitambaa cheusi mahali popote walipo,siku ya pili wakafunga midomo kwa plasta
N.;B :
Haya wafanye wakiwa wanaendelea na shughuli zao wakiwa wanaisubiri siku kuu yenyewe
 
Hahaa haka ndio ka upenyo cha kuwatafuna wake wa Polisi ,wenyewe wako busy na Ukuta
 
Makamanda karibu sana. Mavazi meusi na kitambaa cheupe maandamano na mikutano ya amani
 
Njia pekee ya kupata katiba mpya ni hii
 
kama ni sherehe ya Amani ndio imewadia pamoja makamanda bega kwa gega!
 
Back
Top Bottom