Ukurutu au fangasi

Ukurutu au fangasi

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,249
ac.jpg
maongezi yamekuwa mazuri ama amekutana na sauti laini ya mtoto wa kike kama.....wa humu jf.
 
Mh! Pengine anamtuliza jamaa asiwe na haraka bado wako kwenye majadiliano!
 
Mh! Pengine anamtuliza jamaa asiwe na haraka bado wako kwenye majadiliano!

Hii inanikumbusha enzi za Pugu Sec na maji ya Pondi.... Full fangas... enzi za maendeleo 4...
 
hiyo ni tabia ya wahindi pia unakuta unaongea nae unaona anajikuna hahaahah nachukia sana
 
Mkuu unakumbuka vurugu za mwalimu mabagala??... Mambo ya ukimbizana. Vp pale kwa Mombeki...
Mabagala anasoma PHD pale UDSM nasikia yupo idara ya Physical Education.
 
Mabagala anasoma PHD pale UDSM nasikia yupo idara ya Physical Education.

Yes mabagala alikuwa pia Second Master pale pugu. Pugu ilikuwa na walimu wazuri sana. Hata mwalimu Mauki (mr) nilishawai kumuona UDSM, nafikiri nae anafanya PhD.
Hila hii PhD ya mabagala haitakuwa na bange kweli? kwa sababu huyu ticha halikuwa haeleweki...
 
Mabagala anasoma PHD pale UDSM nasikia yupo idara ya Physical Education.

Mkuu unamkumbuka Mwalimu Salumu (marehemu), mzee wa msosi, kama upo boarding, ujamaliza ada huli, afu unakumbuka alivyokua anaongea huku akikutemea mate. by then salumu alikuwa anategemewa kwa math o level....
 
Back
Top Bottom