saddyy
Member
- Dec 28, 2014
- 58
- 54
Ndege anapokua hai huwa anakula sana wadudu, lakini anapokufa wadudu humla yeye maisha yanabadilika kila wakati, kwa hiyo usimdharau wala kumuumiza mtu yoyote katika maisha yako, unaweza ukawa imara sana.
Lakini kumbuka dunia ni imara kuliko wewe, mt mmoja unaweza ukatengeneza mamilion ya njiti za kibiriti lakini muda ukifika njiti moja tu ya kibiriti inaweza ikachoma msitu mzima, hivyo kuwa mwema kwa kila mtu.
Lakini kumbuka dunia ni imara kuliko wewe, mt mmoja unaweza ukatengeneza mamilion ya njiti za kibiriti lakini muda ukifika njiti moja tu ya kibiriti inaweza ikachoma msitu mzima, hivyo kuwa mwema kwa kila mtu.