Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Pole xn na inaonesha unajutia kwa kilichokufika hii kujuta ni hatua moja ya kukiri kwamba ulikosea endelea kulia kwa mola wako akusamehe dhambi za kumtesa huyo kijana
Ama ktk kukusaidia tatizo lako inaonesha wahitajia mgaguz atakae shinda nguvu huyo mfungaji na mara zote uchawi unafikia lengo lake kupitia majini siamini kwamba jini alomfunga mumeo ndio wa mwisho kwa nguvu za kichawi naona ipo milango au ipo fursa yakutatuka tatizo lako lako ngoja nifuatilie zaidi nitakujibu IN shaa Allah
 
Kumwambia ukweli hapana.. Mimi nataka nipate msaada arudi katika hali yake ya kawaida. Ila nashukuru sana kwa ushauri wako
Daaaaaaaaaaaah yaaani nimeishiwa pose sijawahi ona/sikia wamfunga mtoto wa watu kisa wivu????!!!!!hakika wewe ni mwanamke hata shetani anakuogopa usiefaa kupungwa, kweli ukathubutu kumharibu kaka wa watu kisa wivu wako usiokuwa wa maana Mungu akuhukumu kwa mateso unayompa kaka wa watu na hautokuwa na amani wala furaha kwa machozi ya mumeo ni bora umweleze ukweli na kingine nenda kwenye maombi omba Mungu akusamehe na umaanishe hapo utapata jibu, usithubutu kwenda kwa waganga wa kienyeji tena.
 
Wasalaam wakuu,

Siku kadhaa zilizopita niliandika uzi hapa nikiomba ushauri kuhusu mtu anayeweza kunisaidia kumtibu mume wangu maradhi ya ukhanithi wa kurogwa.

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Nimepokea meseji kutoka kwa watu mbalimbali wakinielekeza nijaribu kuwaona waganga, masheikh na wachungaji mbalimbali.

Ila katika watu wote nilioelekezwa kuwaona ni huyu Mganga anaitwa " Mwandulami " ndio amependekezwa na watu wengi sana.

Nimeelekezwa yupo Njombe na ni wa uhakika na ukweli sana na amesaidia watu wengi sana.

Ninataka kufunga safari kwenda kumuona. Kwa mnao mjua vizuri huyu Mwandulami naomba mnipe maelezo yake tafadhali.

Ninataka kabla sijaenda kumuona nijiridhishe kwanza.Najua hapa JF kuna watu wengi sana na nnajua watakuwepo ambao wameisha kutana na Mwandulami.

ASANTENI SANA.
 
POLE....mwandulami namfahamu vizuri yupo mtwango njombe ni maarufu ila ni tapeli utapigwa pesa mpaka ukome.wenyeji wapale wanamwogopa sna sbb ya vituko vyake vya uchawi uchawi na mazingaumbwe.nakushauri tu uende kwa wachungaji hilo tatizo lako ni ndogo Mungu anaweza kukusaidia hakuna mwngne awezaye zaidi ya MUNGU kwngne nikupoteza pesa zako bure na mda
 
POLE....mwandulami namfahamu vizuri yupo mtwango njombe ni maarufu ila ni tapeli utapigwa pesa mpaka ukome.wenyeji wapale wanamwogopa sna sbb ya vituko vyake vya uchawi uchawi na mazingaumbwe.nakushauri tu uende kwa wachungaji hilo tatizo lako ni ndogo Mungu anaweza kukusaidia hakuna mwngne awezaye zaidi ya MUNGU kwngne nikupoteza pesa zako bure na mda
Asante sana kwa ushauri ...
 
Mwandulami ndo mwisho wa reli, rafiki yangu aliwekwa sawa mapaka kesho anadundika
 
Back
Top Bottom