Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Dah! hili jambo huwa linanitatiza Sana sielewi mademu ambao ni ma student huwa wako au wanafanana kitabia. Hii habari nilikuwa naisikia tangu zamani. kuwa Ukitongoza Demu mwanafunzi first date anakuja na marafiki zake kuanzia wawili hadi kumi!
Sielewi kama huwa wanakuwa na dhamira gani, kwani kama ndio umemuita sehemu kwenye kihotel mje mtalk kubadilishana maneno mawili matatu na uwongo mwingi na sababu zilizokufanya umuite na mfukoni unakuwa na vifedha vyako kiduchu huku ukiamini hicho kihotel saizi na Student na wewe.
Time zikifika utamuona anaingia na jeshi lake huku akijidai na kuwatambulisha washikaji zangu hawa huyu fulani yule nanihii nk hadi anawamaliza kisha anakuja na kwako jamani huyu ndio shemei yenu wa pekee.
Ukianza kujiwazia leo siku ya kuumbuka imewadia huku unajipa moyo hawa nawazungushia round moja nadhani watasepa ukiona hakuna dalili za kuondoka jifanye unaenda chooni na utokomee huko huko demu si saizi yako ni mchunaji. Swali linakuja kwa nini huwa Wengi huwa hawaji peke yao.
Sielewi kama huwa wanakuwa na dhamira gani, kwani kama ndio umemuita sehemu kwenye kihotel mje mtalk kubadilishana maneno mawili matatu na uwongo mwingi na sababu zilizokufanya umuite na mfukoni unakuwa na vifedha vyako kiduchu huku ukiamini hicho kihotel saizi na Student na wewe.
Time zikifika utamuona anaingia na jeshi lake huku akijidai na kuwatambulisha washikaji zangu hawa huyu fulani yule nanihii nk hadi anawamaliza kisha anakuja na kwako jamani huyu ndio shemei yenu wa pekee.
Ukianza kujiwazia leo siku ya kuumbuka imewadia huku unajipa moyo hawa nawazungushia round moja nadhani watasepa ukiona hakuna dalili za kuondoka jifanye unaenda chooni na utokomee huko huko demu si saizi yako ni mchunaji. Swali linakuja kwa nini huwa Wengi huwa hawaji peke yao.