KERO Ukosefu wa Maji kata ya Saranga-King'ong'o

KERO Ukosefu wa Maji kata ya Saranga-King'ong'o

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mwananjengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
317
Reaction score
101
Mtaa wa King'ong'o Kata ya Saranga ,wilaya ya ubungo hatuna maji ni mwezi wa nne Sasa. Tumeripoti DAWASA ofisi ya Kimara bila kupata Masaada. Wanakuja wanaangalia wanasema tunalishugulikia ni mwezi wa nne sasa. Sijui shida ni nn ,ni mgao wa maji au nini. Mgao wa miezi minne na mgao gani huo.

Meneja wa DAWASA Kimara anajua ila hakuna analofanya ,sijui Msaada tutapa wapi.
 
Hakuna watu wapuuzi kama hawa DAWASA Kimara kuna mtu mmoja anaitwa Adam ni mtu wa ajabu sana.. Stop Ova maji hakuna na mabomba kuna wakati yanavuja maji wao wapo tu.
 
Back
Top Bottom