Ukoo unaendaga kwenye vikao vya ukoo?

Sina mchango wowote maana wanajua sina pesa kwa hiyo huwa wanaitana tu halafu "wananisahau"
 
Mambo ya msingi sana hayo mkuu,jikaze toa pesa,hao ndiyo ndugu zako,ukiwakataa hao kitakulamba siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…