Matunzo 02
JF-Expert Member
- Jul 7, 2026
- 1,046
- 2,093
duuuh na wew hujuw kama wapo wao?Mm sio kutengwa tuu, hawajui kama kuna mimi.
Sio wote nna taarifa zao, wachache sana ndo nawajuaduuuh na wew hujuw kama wapo wao?
kujengelea ni kosa kubwa kwa mkristoDah! pole sana mkuu...
wakati mwingine inahitajika kujikana nafsi, kuhusu haya mambo ya ukoo mie walinambie et nichange ya kujengelea maziara nikauchuna...
mkuu unapenda ubwabwa?Yaa naendaga sababu huwaga na togwa na ubwabwa tofauti na hapo nisinge sogeza mbupu zangu holuko
na mm nataka kuachana nayo tu tupo watu karibia 200 kwa 30k wanataka kulamo tu viongoziSio wote nna taarifa zao, wachache sana ndo nawajua
Sisi kila mwaka kuna kikao, kuna michango tunatoaga na watu wanayaheshimu sana.Mm sio kutengwa tuu, hawajui kama kuna mimi.
kwa wasukuma bado ipo maana msipojuana mnaweza kuoana ndug kwa ndug?Mambo ya familia na hzi cjui ukoo ziliondokaga na nyereree lkn mpk ss tupo nazoo..
Yah, hapO lazima hela zipigwe!kujengelea ni kosa kubwa kwa mkristo
N jambo jema kukutana, mm nadhani kuna mambo siyapi kipaumbele tuuSisi kila mwaka kuna kikao, kuna michango tunatoaga na watu wanayaheshimu sana.
mwaka huu wamezidi miaka mingine tulitoa 15k ila mwaka huu wanasema 30kKama mna huo utaratibu uheshimu tu.
Kwamba dunia n ndogo kiasi hiko mpaka muoane ndugu?kwa wasukuma bado ipo maana msipojuana mnaweza kuoana ndug kwa ndug?
Upigaji huo kudadekina mm nataka kuachana nayo tu tupo watu karibia 200 kwa 30k wanataka kulamo tu viongozi
Ni kwa ajili ya msosi tu au kuna watu mnapanga kuwasapoti labda wana wagonjwa hivi...mwaka huu wamezidi miaka mingine tulitoa 15k ila mwaka huu wanasema 30k
hivi unajua hiyo ni ibaada ya kujengeleaYah, hapO lazima hela zipigwe!