Ukomo wa serikali ya tz kukopa ili isifilisike unakaribia mwisho.....imefahamika..

quote_icon.png
By Majimoto Kikwete chukua hatua hizi kunusuru taifa:-

1. Ondoa manaibu mawaziri wote, na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

2. Punguza wizara zibaki wizara muhimu tu.

3. Futa mara moja kuanzishwa kwa mikoa mipya na wilaya mpya

4. Hakikisha magari yote ya serikali yanafanya kazi za serikali peke yake, familia za viongozi watumie magari yao ambayo wamepewa kipaumbele cha kununua kwa pungufu ya kodi.

5. Magari yote ya serikali yaengeshwe nje ya ofisi za serikali muda wa kazi unapoisha. Watumishi wote watumie magari yao binafsi kwenda na kurudi nyumbani.

6. Futa safari za nje, ikilazimu viongozi wasafiri kwa daraja la kawaida.

7. Punguza manunuzi ya silaha kwa jwtz.

8. Simamisha wabunge wa viti maalum.

9. Piga mnada wa magari ya kifahari yote yanayotumiwa na viongozi wa serikali, kwa kuanza na ofisi yako.


MAAMUZI MAGUMU KAMA HAYA ANAYAWEZA EDDO LOWASSA PEKEE NDANI YA CCM.
 
Mpaka sasa sijawaona wachangiaji watukufu akina FaizaFox, Rejao, Ritz, Mwita25, Kibunango, Nape nk. Mko wapi nyie kwani hili haliwahusu?
 
quote_icon.png
By Majimoto Kikwete chukua hatua hizi kunusuru taifa:-

1. Ondoa manaibu mawaziri wote, na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

2. Punguza wizara zibaki wizara muhimu tu.

3. Futa mara moja kuanzishwa kwa mikoa mipya na wilaya mpya

4. Hakikisha magari yote ya serikali yanafanya kazi za serikali peke yake, familia za viongozi watumie magari yao ambayo wamepewa kipaumbele cha kununua kwa pungufu ya kodi.

5. Magari yote ya serikali yaengeshwe nje ya ofisi za serikali muda wa kazi unapoisha. Watumishi wote watumie magari yao binafsi kwenda na kurudi nyumbani.

6. Futa safari za nje, ikilazimu viongozi wasafiri kwa daraja la kawaida.

7. Punguza manunuzi ya silaha kwa jwtz.

8. Simamisha wabunge wa viti maalum.

9. Piga mnada wa magari ya kifahari yote yanayotumiwa na viongozi wa serikali, kwa kuanza na ofisi yako.


MAAMUZI MAGUMU KAMA HAYA ANAYAWEZA EDDO LOWASSA PEKEE NDANI YA CCM.

Kwan Huyo FISADI eddo akiwa PM hakuna yaliyofanyika hapo juu na yeye akawa mtetezi wake hja za maswali kma hayo zinapoibuka bungeni.
 
Natamani hali iwe ngumu zaidi (mafuta, unga, umeme na mahitaji muhimu) japo tutaumia lakini itasaidia kufumbua akili za wapenzi wa magambas ambao mpaka sasa wapo kwenye upofu wa kupindukia wakikishadadia utafikiri wanapewa mlo wa kila siku bure.. natamani mpaka ifike mahali REJAO, RITZ & co. wachanganyikiwe maana hata cha kufisadi kitakuwa hakipo..
 
anachofanya tshisekedi DRC anashindwa dr.slaa kukifanya?iam sure wanajeshi wengi wa chini watamuunga mkono akiapa pale jangwani.
 
Kikwete chukua hatua hizi kunusuru taifa:-

1. Ondoa manaibu mawaziri wote, na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

2. Punguza wizara zibaki wizara muhimu tu.

3. Futa mara moja kuanzishwa kwa mikoa mipya na wilaya mpya

4. Hakikisha magari yote ya serikali yanafanya kazi za serikali peke yake, familia za viongozi watumie magari yao ambayo wamepewa kipaumbele cha kununua kwa pungufu ya kodi.

5. Magari yote ya serikali yaengeshwe nje ya ofisi za serikali muda wa kazi unapoisha. Watumishi wote watumie magari yao binafsi kwenda na kurudi nyumbani.

6. Futa safari za nje, ikilazimu viongozi wasafiri kwa daraja la kawaida.

7. Punguza manunuzi ya silaha kwa jwtz.

8. Simamisha wabunge wa viti maalum.

9. Piga mnada wa magari ya kifahari yote yanayotumiwa na viongozi wa serikali, kwa kuanza na ofisi yako.

Si Kikwete huyu nimjuaye mimi anayeweza kufanya japo jambo moja kati ya hayo! Acha serikali ifilisike tuanze moja labda watu watatia akili!
 
Tatizo lipo kwenye matumizi yasiyo ya lazima. Kama kweli karibu robo ya bajeti ya serikali ni posho basi ujue sisi ni majuha wa kutupwa!!! *Nchi ambayo karibu 40% ya bajeti ni fedha za wahisani lakini anasa za viongozi wake ziko juu kuliko hata hao wahisani!!!*

Kwa upande wa ukusanyaji mapato, kuna uzembe mwingi sana. watu ambao walipaswa kuwa walipa kodi wakubwa wanapewa tax holiday kwa visingizio vya ku-promote uwekezaji wa kutoka nje.

Vilevile control juu ya ukusanyaji wa mapato ya halmashauri za manispaa na majiji ziko very poor. Halmashauri hizi zimepewa nguvu kisheria kukusanya mapato ambayo mengi huishia kupotea mikononi mwa watendaji wachache kwa kutumia mitandao haramu ya wizi wa keki ya taifa, mbaya zaidi, hata viongozi waandamizi wa serikali wapo ndani ya mitandao hiyo.

Bado safari ni ndefu sana.
 
Spending: Govt seeks to borrow Sh20 billion

Monday, 26 December 2011 23:04

By The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

The central bank will tomorrow auction a 10-year treasury bond to raise about Sh20 billion to finance government spending. The move comes against a backdrop of rising inflation and economic problems that have punched holes in the budget.
The auction of the T-Bond, going at 11.44 per cent interest rate, is the last attempt this calendar year to raise funds from the money markets and comes barely days after a similar attempt to raise Sh100 billion through T-Bills flopped.

The central bank raised just Sh13.56 billion at last Wednesday’s T-Bills auctions, despite competitive rates of up to 19.56 per cent, which was way above the inflation rate.

The 2011/12 budget already has a Sh780 billion shortfall, which has been caused by high inflation, according to the opposition. Inflation rose to 19.2 per cent in November.
The gap in the budget would not be bridged even if the revenue collection targets were met, according to experts. Besides, donors who fund the budget have released less than 10 per cent of their commitment, piling the pressure on the government’s spending plans.
Faced with the possibility of running bankrupt, the government has resorted to selling treasury papers (T-Bonds and T-Bills) to fill in the gaps. Bank of Tanzania reports indicate that the government has already borrowed Sh1.06 trillion through T-Bills and T-Bonds in the first half of the 2011/12 fiscal year.

This is against a target of Sh1.2 trillion for the whole financial year that Finance and Economic Affairs minster Mustafa Mkulo announced when tabling the budget last June,
of the Sh1 trillion raised from July to December 21, about Sh140.79 billion came from T-Bonds and Sh922.6 billion from T-Bills.

Analysts say this kind of borrowing cripples financing for the private sector, which in turn curtails its growth—which is necessary for job creation and as a source of revenue for the government.Financial institutions tend to rush for treasury papers, also known as government securities, because the government is risk free and pays handsome dividends, unlike the risky private sector.

The central bank issued an alert in October that it would increase borrowing through treasury papers to reduce money from the circulation (mopping up excess liquidity) as ways of taming high inflation and local currency volatility.
The annual headline inflation has been rising from 6.4 per cent in January to 19.2 per cent in November and BoT efforts (monetary policy tools) have not given any positive results yet.

However, the central bank has succeeded in stabilising the shilling, strengthening it from an all time low of 1,880 units against the US Dollar in October to 1,595 units against the greenback last Friday.
The 10-year T-Bond to be auctioned tomorrow will be listed at the Dar es Salaam Stock Exchange for secondary trading, as it is the custom, by next Tuesday, according to a public notice issued by BoT yesterday.

The 10-year T-Bond is the fourth and the 11th T-Bond to be issued in the fiscal year 2011/12 by the central bank. The last 10-year T-Bond was issued early last month, at 11.44 per cent interest rate, with the government seeking to raise Sh20 billion but ended up collecting Sh12.69 billion.

The previous two 10-year T-Bonds, which were offered at the same interest rates of 11.44 per cent were significantly oversubscribed, but analysts say it was mainly because the interest rate was around the inflation rate.
All the T-Bonds issued by BoT in the last six months yielded Sh140.79 billion. The BoT also issued various T-Bonds at two, five and seven year maturity. But investor interest has continued to dwindle as the inflation rate rises.

Issuing T-Bills and T-Bonds is a normal and regular mechanism undertaken by the Bank of Tanzania every fortnight both to raise money for covering government expenditures in case of budget deficit and to reduce excess cash in the economy as part of efforts to tame inflation and exchange rate fluctuations.
But issuing of the T-Bonds and T-Bills has taken a new dimension this fiscal year as the budget deficit widens on a monthly basis.

Yaani juzi tumechoma 60 billion kwa sherehe za uhuru halafu leo tunahangaika kutafuta 20bn!!! Hizi ni akili au matope????
 
Nasikia mojawapo ya Degree za JK ni ya uchumi...hayaoni haya?
 
Kwan Huyo FISADI eddo akiwa PM hakuna yaliyofanyika hapo juu na yeye akawa mtetezi wake hja za maswali kma hayo zinapoibuka bungeni.

Bandugu,

Serikali inafilisika kaka amka toka kwenye chuki binafsi dhidi ya EDDO!! do something bandugu. Kama huwezi kufanya lolote basi subiri Eddo atakuja kuwakomboa 2015.
 
Kweli ndg. zangu Wtz hali ni mbaya sana. Serikali haina kitu pesa zote zipo mikononi mwa mafisadi. Lakini ugumu wa maisha tulionao ni fundisho kwa watanzania kuacha msaha kwenye mambo muhimu kama kipindi cha uchaguzi. Mnamchagua mtu (JK+CCM) ambayo hawajui nini cha kufanya. Yeye mkuu wa nchi na serikali yake wapo tu kama........
 
Bandugu,

Serikali inafilisika kaka amka toka kwenye chuki binafsi dhidi ya EDDO!! do something bandugu. Kama huwezi kufanya lolote basi subiri Eddo atakuja kuwakomboa 2015.
Ukombozi kupitia chama kilekile na sera zilezile ni ndoto za mchana ndugu yangu cha msingi ni kubadili mfumo mzima na hii inaanzia kwa kukiondoa madarakani chama tawala kisha mengine yafuate .. hakuna njia ila total transformation.
 
Ndio kwanza tuko katikati ya mwaka wa fedha! kufa hatufi ila cha moto tutakiona!
 
NCHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII KWISHNEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEY! Hiyo ndio dawa ili wa tz wajue kufanya uchaguzi makini!
 
Sio hao tu bali wale wote waliwahi kutajwa au kuguswa na kashfa yeyote ile ya ubadhirifu wa fedha za umma washtakiwe na kufilisiwa pale tu itakapothibitika kua ni wahusika.
 
quote_icon.png
By Majimoto Kikwete chukua hatua hizi kunusuru taifa:-

1. Ondoa manaibu mawaziri wote, na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

2. Punguza wizara zibaki wizara muhimu tu.

3. Futa mara moja kuanzishwa kwa mikoa mipya na wilaya mpya

4. Hakikisha magari yote ya serikali yanafanya kazi za serikali peke yake, familia za viongozi watumie magari yao ambayo wamepewa kipaumbele cha kununua kwa pungufu ya kodi.

5. Magari yote ya serikali yaengeshwe nje ya ofisi za serikali muda wa kazi unapoisha. Watumishi wote watumie magari yao binafsi kwenda na kurudi nyumbani.

6. Futa safari za nje, ikilazimu viongozi wasafiri kwa daraja la kawaida.

7. Punguza manunuzi ya silaha kwa jwtz.

8. Simamisha wabunge wa viti maalum.

9. Piga mnada wa magari ya kifahari yote yanayotumiwa na viongozi wa serikali, kwa kuanza na ofisi yako.


MAAMUZI MAGUMU KAMA HAYA ANAYAWEZA EDDO LOWASSA PEKEE NDANI YA CCM.

Kwa uongozi wetu uliolewa anasa na kujisahau they will never dare do hata moja katika haya uliyoshauri hapo juu!
 
Natamani hali iwe ngumu zaidi (mafuta, unga, umeme na mahitaji muhimu) japo tutaumia lakini itasaidia kufumbua akili za wapenzi wa magambas ambao mpaka sasa wapo kwenye upofu wa kupindukia wakikishadadia utafikiri wanapewa mlo wa kila siku bure.. natamani mpaka ifike mahali REJAO, RITZ & co. wachanganyikiwe maana hata cha kufisadi kitakuwa hakipo..

Kuanzia January bei ya umeme kwa unit moja inapanda kwa zaidi ya asilimia mia moja na hamsini (150%)
 
Kuanzia January bei ya umeme kwa unit moja inapanda kwa zaidi ya asilimia mia moja na hamsini (150%)
Acha ipande ili ikalipie miradi ya kifisadi ya serikali ya magamba, hata hiyo 150% bado wale vipofu na majuha wanaoshabikia magamba hawatafunguka, unajua ukombozi una gharama kubwa na mara nyingi umekuwa ukigharimu maisha ya watu lakini huu wa kutuumiza kwa gharama za maisha mimi naona sawa tu..
 
Back
Top Bottom