Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Mzee mwanakijiji, hao wananchi waliotulositisha wapo vijijini, wao utakuta wanateseka na njaa tu na hawajui kama serikali inajukumu la kulipa mishahara, bali ukifika muda wao wa kofia ndiyo wanafahamu muda wao wa kuchuma na kuichagua CCM!Watu waliopoenda kupiga kura mwaka jana walifikiria wanaenda kumkomoa nani au kuchagua nini?