Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1][/h]Posted on March 24, 2012 by zanzibaryetu
Baraza la Katiba Zanzibar kwa kushirikiana na Jumuiya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakiwa katika jukwaa kuu kwa kutoa elimu ya uraia, kwa kwanza kulia ni Kiongozi wa Jumuiya ya Maimam Ustadh Farid Hadi, Mjumbe wa Baraza la katiba Wakili Awadh Ali Said, Mwenyekiti wa baraza la katiba Pro. Abdul- Shareef, Amiri wa Uamsho Mselem Ali na Sheikh Suleiman mjumbe wa Uamsho
Baraza la Katiba Zanzibar kwa kushirikiana na Jumuiya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakiwa katika jukwaa kuu kwa kutoa elimu ya uraia, kwa kwanza kulia ni Kiongozi wa Jumuiya ya Maimam Ustadh Farid Hadi, Mjumbe wa Baraza la katiba Wakili Awadh Ali Said, Mwenyekiti wa baraza la katiba Pro. Abdul- Shareef, Amiri wa Uamsho Mselem Ali na Sheikh Suleiman mjumbe wa Uamsho