minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
January makamba alishiriki kutunga Sheria kandamizi lakini laana haikumuacha salama akaja kutumbuliwa baadaeWanaotunga hivi vijisheria sijui huwa wanalenga nini?
January makamba alishiriki kutunga Sheria kandamizi lakini laana haikumuacha salama akaja kutumbuliwa baadaeWanaotunga hivi vijisheria sijui huwa wanalenga nini?
Naunga mkono hoja yako kwa 100%Ni kulinda maslahi ya watu ambao hawafiki hata 500. Ila wanaunda sheria ya kukandamiza watu milioni 50.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Msukuma nae wapo wengi akina kale kazee ka kule Rukwa jimbo la Nkasi kalikosema magufuli awe Rais wa mileleWanalenga kupiga makofi zile meza za bungeni. Ni mpaka WANANCHI wajue umuhimu na kazi ya mbunge awapo bungeni ndo huu ushenzi utaisha. HEMU FIKILIA LUSINDE YUPO BUNGENI HIYO SHERIA ANAACHAJE KUIPITISHA.
Hii ni zaidi ya ukoloni. Huu ni ushetani.Kwa sheria hizi ambazo kikundi cha watu wachache wanaunda ili kukandamiza waafrika wenzao ni bora tu wakoloni weupe warudi.
Hawa watu hawana aibu, wanaturudisha miaka ya 1950/60 tuanze kudai uhuru upya.View attachment 1522744View attachment 1522745
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
MmhLicha ya ubabe wa magufuli wapo watu humpelekesha kama ilivyokuwa kwa Bashite hapo awali na sasa anatekeleza Amri ya mwingulu Nchemba ya kutotangaza takwimu za wagonjwa wa corona .
Sahihi kabisa. Hawa jamaa sijui walizaliwa na binadamu kama sisi au vipiUkweli ni kuwa japo wakoloni walikuwa wabaya lakini hawakuwa wabaya kama hawa viongozi wetu. Na ndiyo maana ukiangalia mpaka leo hii mataifa yale yaliyotawaliwa kwa miaka mingi zaidi na wakoloni yana uafadhali wa maendeleo kuliko mataifa yaliyopata uhuru mapema.
AAAaAQAAAWwaAea
Mpaka leo kukiwa na vita Africa au Uarabuni, wanaonewa kimbilio lao ni kwa wakoloni.
Ukoloni wa mwafrika kwa mwafrika mwenzake ni mbaya kuliko ukoloni wa mzungu kwa mwafrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna haja ya kuwa na rais kijana <40 maana kuna sheria nyingine hata unashindwa kuelewa waliozitunga kama wako 2020, hebu eti fikiria kuna sheria inayowataka watu kisajili website/blogs zao hata kama zinatumika kuelemisha jamii juu ya mambo ya msingi kama vile afya nk.
Aibu hii sasa kuishi kwenye nchi yenye sheria za namna hii
Kweli kabisa mkuuAsante sana kuleta hii mada. Watz wengi hawafahamu athari za raisi huyu. wamekaa wakishereheka kuthibitiwa wapinzani wakati tunaumia sote kama raia.Sisi wazanzibari ndio tubajua nini maana ya kunyanyaswa na ukoloni mambo leo. Shida zinatukuta kila aina mbali na hayo ulio yataja, hapa kwetu kama huna kitambulisho cha CCM hupati ajira wala huduma katika baadhi ya ofisi za serikali. ikiwa huna kitambulisho huna haki ya kufanya lolote inafika sasa hata kuuziwa shamba uwe na kitambulisho cha chama tawala. Mateso yana mwisho na mwisho hauko mbali tena. Maamuzi magumu lazima ya fanywe kama tunataka kuishi kwa salama.