Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Yawezekana ACT WAZALENDO wakaanza kampeni Bila mgombea wa jamuhuri?
Lakini niliona hta Mwinyi alichukua peke yake baada ya Samia kuchukua
Je yupi ni WA muhimu
Kati ya mgombea wa jamuhuri na mgombea wa Zanzibar?
Kama nchi ni Moja kwa Nini vyama wagombea wasichukue siku moja na wazindue kampeni siku moja?
Lakini niliona hta Mwinyi alichukua peke yake baada ya Samia kuchukua
Je yupi ni WA muhimu
Kati ya mgombea wa jamuhuri na mgombea wa Zanzibar?
Kama nchi ni Moja kwa Nini vyama wagombea wasichukue siku moja na wazindue kampeni siku moja?