Uko wapi ukweli kuhusu panya road?

Uko wapi ukweli kuhusu panya road?

Next time watakufikia tu mkuu na huwa ni tukio la dakika chache maana wanafanya kazi yao kwa tahadhali kidogo wanachokipata wanatoweka
Duh[emoji102][emoji102]
 
Panyaroad wapo central sa hizi naona mji umetulia, wapelekwe ukonga wakale mafunzo ya ujasiliamali miaka 3, sababu ya kuwa idle ndo maana wanafanya uhalifu
 
Omba yasikukute. Pale Tabata kisiwani watu wamechezea visu na mapanga halafu wewe unaleta utani.

Kunduchi hadi mtoto wa miaka Tisa/9 kala mapanga ya panya road halafu wewe unaleta story za sungura na fisi.

Jaribu kufatilia vyombo vya habari hasa TV ili ujionee kwa macho sio kushinda tu Instagram kuangalia makalio ya kina Gigy money.
 
Omba yasikukute. Pale Tabata kisiwani watu wamechezea visu na mapanga halafu wewe unaleta utani.

Kunduchi hadi mtoto wa miaka Tisa/9 kala mapanga ya panya road halafu wewe unaleta story za sungura na fisi.

Jaribu kufatilia vyombo vya habari hasa TV ili ujionee kwa macho sio kushinda tu Instagram kuangalia makalio ya kina Gigy money.
Mkuu umenielewa vibaya,simaanishi kwamba Panya Road hakuna ila kuna vitu vinakuzwa kuliko uhalisia.
Watu wa mtaani wanazidishia mambo
 
Habari Mabibi na Mabwana wa Jf;

Haya matukio ya Panya Road kwa sasa yamekua yana tatanisha sana.
Mfano Mimi ni mkazi wa Temeke (Tandika) sikuwai kusikia wala kuona Panya Road.

Lakini cha ajabu nikienda kazini maeneo ya Sinza nawasiki watu wanahadisia kua Panya Road wamevamia Temeke (Tandika ).

Basi nabaki najiuliza, mbona mimi nakaa huko na hiyo siku ambayo wanasema Panya Road wamevamia nilishinda uko na nikawa ktk mizunguko mpaka saa 4 Usiku sikusikia wala kuona Panya Road?.

Hii inanifanya nikumbuke story ya Babu yangu, kuhusu Mwizi Maaru hapa jijini Dar alieitwa MAHMOUDU.
Ipo hivi;

Miaka ya nyuma kulitokea Mwizi maarufu kwa jina MAHMOUDU, kipindi hicho Dar yote kituo cha polisi kilikua Msimbazi Police tu ukiondoa makao Mkuu Centre, hii zamani kidogo.

Kesi za wizi zilizokua zikilipotiwa zote mtuhumiwa wao ni MAHMOUDU.

Haijalishi mleta mashtaka katokea wapi iwe Magomeni au Temeke, tena hata kama matukio yalitokea kwa wakati Mmoja.

Police walimtafuta MAHMOUDU na kumuweka ndani, chakushangaza kesi zikawa zinakuja na mtuhumiwa wao ni yuleyule bwana MAHMOUDU.

Sasa hawa Panya Road kweli wapo kama tunavyo Peana taarifa au tunatishana tu na kulikuza hili jambo.
Huu upuuzi nimefika hom jion hii naskia dada mmoja anaongea njian nimeona panda Road bonyokwa wana mapanga wapo wengi.

akaniambia jitahid kuwahi kurud kwako!! Nimemjibu acha upumbavu watu wanatembea tu wapo na mambo yao ww unasema umeona panya Road kanijibu kwa nyodo nimemuona ni mpumbavu tu
 
Habari Mabibi na Mabwana wa Jf;

Haya matukio ya Panya Road kwa sasa yamekua yana tatanisha sana.
Mfano Mimi ni mkazi wa Temeke (Tandika) sikuwai kusikia wala kuona Panya Road.

Lakini cha ajabu nikienda kazini maeneo ya Sinza nawasiki watu wanahadisia kua Panya Road wamevamia Temeke (Tandika ).

Basi nabaki najiuliza, mbona mimi nakaa huko na hiyo siku ambayo wanasema Panya Road wamevamia nilishinda uko na nikawa ktk mizunguko mpaka saa 4 Usiku sikusikia wala kuona Panya Road?.

Hii inanifanya nikumbuke story ya Babu yangu, kuhusu Mwizi Maaru hapa jijini Dar alieitwa MAHMOUDU.
Ipo hivi;

Miaka ya nyuma kulitokea Mwizi maarufu kwa jina MAHMOUDU, kipindi hicho Dar yote kituo cha polisi kilikua Msimbazi Police tu ukiondoa makao Mkuu Centre, hii zamani kidogo.

Kesi za wizi zilizokua zikilipotiwa zote mtuhumiwa wao ni MAHMOUDU.

Haijalishi mleta mashtaka katokea wapi iwe Magomeni au Temeke, tena hata kama matukio yalitokea kwa wakati Mmoja.

Police walimtafuta MAHMOUDU na kumuweka ndani, chakushangaza kesi zikawa zinakuja na mtuhumiwa wao ni yuleyule bwana MAHMOUDU.

Sasa hawa Panya Road kweli wapo kama tunavyo Peana taarifa au tunatishana tu na kulikuza hili jambo.
Mkuu hata picha huoni kama kusoma hujui
 
Habari Mabibi na Mabwana wa Jf;

Haya matukio ya Panya Road kwa sasa yamekua yana tatanisha sana.
Mfano Mimi ni mkazi wa Temeke (Tandika) sikuwai kusikia wala kuona Panya Road.

Lakini cha ajabu nikienda kazini maeneo ya Sinza nawasiki watu wanahadisia kua Panya Road wamevamia Temeke (Tandika ).

Basi nabaki najiuliza, mbona mimi nakaa huko na hiyo siku ambayo wanasema Panya Road wamevamia nilishinda uko na nikawa ktk mizunguko mpaka saa 4 Usiku sikusikia wala kuona Panya Road?.

Hii inanifanya nikumbuke story ya Babu yangu, kuhusu Mwizi Maaru hapa jijini Dar alieitwa MAHMOUDU.
Ipo hivi;

Miaka ya nyuma kulitokea Mwizi maarufu kwa jina MAHMOUDU, kipindi hicho Dar yote kituo cha polisi kilikua Msimbazi Police tu ukiondoa makao Mkuu Centre, hii zamani kidogo.

Kesi za wizi zilizokua zikilipotiwa zote mtuhumiwa wao ni MAHMOUDU.

Haijalishi mleta mashtaka katokea wapi iwe Magomeni au Temeke, tena hata kama matukio yalitokea kwa wakati Mmoja.

Police walimtafuta MAHMOUDU na kumuweka ndani, chakushangaza kesi zikawa zinakuja na mtuhumiwa wao ni yuleyule bwana MAHMOUDU.

Sasa hawa Panya Road kweli wapo kama tunavyo Peana taarifa au tunatishana tu na kulikuza hili jambo.
Ntafute nikurengeshe kwenye machimbo yao ukawe chakula chao mkuu ili uamin
 
Huyo babu yako kilaza kakuona wewe ni boya ndio maana kakupa story ya uongo 😂😂😂
Muongo tu miaka anayodai mm nakumbuka, wez kibao na polisi wetu walikuwa mahiri Sana wanakutia hatiani ila ukilipa Mali ukiyoiba unaachiwa
 
Next time watakufikia tu mkuu na huwa ni tukio la dakika chache maana wanafanya kazi yao kwa tahadhali kidogo wanachokipata wanatoweka
Sie huku Dom mbona hawaji ?
Nawatamani sana wakija huku watembelee kwenye banda langu la kuuzia majeneza niwacharange mapanga halafu majeneza nawapa bure
 
Muongo tu miaka anayodai mm nakumbuka, wez kibao na polisi wetu walikuwa mahiri Sana wanakutia hatiani ila ukilipa Mali ukiyoiba unaachiwa
Acha uwongo kipindi hicho Bado upo katika zipo.
Wakati huo Msimbazi police ndio inahudumia Dar yote.
 
Back
Top Bottom