Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe dsm waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.
Mimi kukaa hapa dsm tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?
Sent using
Jamii Forums mobile app