rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Mkuu Herald si umuelimishe hapa hapa na sisi wengine tuelewe/Au kuna shida ukiwaeleza na wengine tusije kuangukia huko?Does it matter ukimueleza yeye kwa email au kutuandikia sote tukasoma?wengine tumenyamaza lakini tunasoma,si unaona wangapi tumetia macho mkuu?tuelimishe sote kama haina gharama.Asante pia kwa dada Ashadii.