nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Asanteni ndugu zangu wana JF!
Nilikuja hapa kuomba ushauri nikijua ni mkosefu.
Lakini mwanume anayeniita mimi mjinga,sina akili, sina dini-namuombea asije kabisa akapatwa na mwanamke wa design hii iliyoniangukia, na sijui kwanini wanaume wengi hujidai wao ni wataalamu wa kukwepa wanawake wakati kiukweli wengi wao si kweli.
Katika kushauriana,NIMEKUBALI KUTUBU KWA MANENO NA VITENDO i.e kumueleza bibie kuwa naumomba msamaha
Lakini cha kushangaza wanaume wengi wanarudia kutoa lawama as if nimekataa kuomba msamaha,jamani NAJUA MIMI NDIE MWENYE MAKOSA,lakini sitaki kuingia kifo ninachokitabiri kwa sababu nimekosa.
Nimemuomba bibie tukapime,nimuache bibie wa nje,nimweleze mbele yake na yeye amuache ndugu yangu amweleze mbele yangu,lakini bibie amesema bora afe kuliko kumtaja mpenzie(mdogo wangu).
Kilichofuatia nimempa vitu vyote vya familia kimaandishi na mimi nitajua nitakakoelekea,maana ukimwi niliisha uona, Hapa kwenye JF nawashukuru ambao hawakunitukana,mungu awazidishie hekima.
Nawashukuru kina dada ambao wamenishauri kuwa huwa hawapendi kuona watoto wa mwanamke mwingine sikulijua hilo.
Siku njema!
Asanteni ndugu zangu wana JF!
Nilikuja hapa kuomba ushauri nikijua ni mkosefu.
Lakini mwanume anayeniita mimi mjinga,sina akili, sina dini-namuombea asije kabisa akapatwa na mwanamke wa design hii iliyoniangukia, na sijui kwanini wanaume wengi hujidai wao ni wataalamu wa kukwepa wanawake wakati kiukweli wengi wao si kweli.
Katika kushauriana,NIMEKUBALI KUTUBU KWA MANENO NA VITENDO i.e kumueleza bibie kuwa naumomba msamaha
Lakini cha kushangaza wanaume wengi wanarudia kutoa lawama as if nimekataa kuomba msamaha,jamani NAJUA MIMI NDIE MWENYE MAKOSA,lakini sitaki kuingia kifo ninachokitabiri kwa sababu nimekosa.
Nimemuomba bibie tukapime,nimuache bibie wa nje,nimweleze mbele yake na yeye amuache ndugu yangu amweleze mbele yangu,lakini bibie amesema bora afe kuliko kumtaja mpenzie(mdogo wangu).
Kilichofuatia nimempa vitu vyote vya familia kimaandishi na mimi nitajua nitakakoelekea,maana ukimwi niliisha uona, Hapa kwenye JF nawashukuru ambao hawakunitukana,mungu awazidishie hekima.
Nawashukuru kina dada ambao wamenishauri kuwa huwa hawapendi kuona watoto wa mwanamke mwingine sikulijua hilo.
Siku njema!
Asanteni ndugu zangu wana JF!
Nilikuja hapa kuomba ushauri nikijua ni mkosefu.
Lakini mwanume anayeniita mimi mjinga,sina akili, sina dini-namuombea asije kabisa akapatwa na mwanamke wa design hii iliyoniangukia, na sijui kwanini wanaume wengi hujidai wao ni wataalamu wa kukwepa wanawake wakati kiukweli wengi wao si kweli.
Katika kushauriana,NIMEKUBALI KUTUBU KWA MANENO NA VITENDO i.e kumueleza bibie kuwa naumomba msamaha
Lakini cha kushangaza wanaume wengi wanarudia kutoa lawama as if nimekataa kuomba msamaha,jamani NAJUA MIMI NDIE MWENYE MAKOSA,lakini sitaki kuingia kifo ninachokitabiri kwa sababu nimekosa.
Nimemuomba bibie tukapime,nimuache bibie wa nje,nimweleze mbele yake na yeye amuache ndugu yangu amweleze mbele yangu,lakini bibie amesema bora afe kuliko kumtaja mpenzie(mdogo wangu).
Kilichofuatia nimempa vitu vyote vya familia kimaandishi na mimi nitajua nitakakoelekea,maana ukimwi niliisha uona, Hapa kwenye JF nawashukuru ambao hawakunitukana,mungu awazidishie hekima.
Nawashukuru kina dada ambao wamenishauri kuwa huwa hawapendi kuona watoto wa mwanamke mwingine sikulijua hilo.
Siku njema!
Salaam wakuu,
Hii ndoa ina miaka 7,watoto 3.
Tatizo la kibinadamu-kama walivyo baadhi ya binadamu wengine,bwana akapata mpenzi,akazaa nae.
Akawa akijitahidi kutimiza mapenzi sehemu zote 2 na matumizi nyumbani, lakini baada ya kujulikana siri , mke wa ndoa akazua vita kali na akaamua kuingia kanisa la wokovu.
Mapenzi yakaporomoka kwa mke wa ndoa.Mama wa ndoa muda mwingi akaanza kuuweka kwenye hilo kanisa na uhusiano na familia ya mme na yake umepungua zaidi ya asilimia 70.
Mme halali nje ya nyumba yake. Lakini mapenzi anafanya kote.Wake wote wana pesa za kujitosha.
Shida ni moja tu,mama wa ndoa hana muda wa kushughulikia watoto, wala nyumba yake na wala hataki hawa watoto wake wajuane na mtoto wa bi mdogo.
Katika kukosa amani katika nyumba yao,mama wa ndoa akaanza kutembea na ndugu wa karibu na mume na siku walipokuwa na tafrani akamwambia mumewe kuwa ana revenge.
kwa sababu hii nauliza kiukweli tu,kama mume anahitaji kuishi humu duniani afanyeje mkewe wa ndoa akitaka penzi?atembee nae kwa condom au wakapime kila mara akimtaka au amuache-divorce au separation maana yeye anajijua kuwa ana makosa na anakubali, lakini adhabu yake isiwe kuikubali revenge na ategemee kifo cha ukimwi.?
Asante.
ironically!?..................YES!......I bet it was meant to read.."sacred".Kwa kufanya hivyo ibilisi atakuwa ameshinda kwani hiyo ndio nia yake, tumepewa utashi na tumeumbiwa msamaha ili tumshinde shetani.
Ushauri wangu:
Ndoa is a scared vow.
- Mume amuombe msamaha mkewe
- Mke amuombe msamaha mumewe
- Wote wawili watubu dhambi hiyo kwa Mwenyezi Mungu
- Mume atambulishe watoto wa nje ya ndoa kwenye familia yake na asitishe mahusiano na huyo mwanamke, mke asitishe mahusiano na huyo ndugu wa mume
- Wajenge nyumba yao upya.
Pamoja sana.
wakati mwanamume anatembea nje hadi kutoa mimba hakujua kama kuna ukimwi, ila mwanamke aliporenge ndo anajua, sasa huyo mwanaume atajiju. na ole wako hao watoto haramu niwakute wakijichanganya na wa nyumba kubwa.Salaam wakuu,
Hii ndoa ina miaka 7,watoto 3.
Tatizo la kibinadamu-kama walivyo baadhi ya binadamu wengine,bwana akapata mpenzi,akazaa nae.
Akawa akijitahidi kutimiza mapenzi sehemu zote 2 na matumizi nyumbani, lakini baada ya kujulikana siri , mke wa ndoa akazua vita kali na akaamua kuingia kanisa la wokovu.
Mapenzi yakaporomoka kwa mke wa ndoa.Mama wa ndoa muda mwingi akaanza kuuweka kwenye hilo kanisa na uhusiano na familia ya mme na yake umepungua zaidi ya asilimia 70.
Mme halali nje ya nyumba yake. Lakini mapenzi anafanya kote.Wake wote wana pesa za kujitosha.
Shida ni moja tu,mama wa ndoa hana muda wa kushughulikia watoto, wala nyumba yake na wala hataki hawa watoto wake wajuane na mtoto wa bi mdogo.
Katika kukosa amani katika nyumba yao,mama wa ndoa akaanza kutembea na ndugu wa karibu na mume na siku walipokuwa na tafrani akamwambia mumewe kuwa ana revenge.
kwa sababu hii nauliza kiukweli tu,kama mume anahitaji kuishi humu duniani afanyeje mkewe wa ndoa akitaka penzi?atembee nae kwa condom au wakapime kila mara akimtaka au amuache-divorce au separation maana yeye anajijua kuwa ana makosa na anakubali, lakini adhabu yake isiwe kuikubali revenge na ategemee kifo cha ukimwi.?
Asante.
Salaam wakuu,
Hii ndoa ina miaka 7,watoto 3.
Tatizo la kibinadamu-kama walivyo baadhi ya binadamu wengine,bwana akapata mpenzi,akazaa nae.
Akawa akijitahidi kutimiza mapenzi sehemu zote 2 na matumizi nyumbani, lakini baada ya kujulikana siri , mke wa ndoa akazua vita kali na akaamua kuingia kanisa la wokovu.
Mapenzi yakaporomoka kwa mke wa ndoa.Mama wa ndoa muda mwingi akaanza kuuweka kwenye hilo kanisa na uhusiano na familia ya mme na yake umepungua zaidi ya asilimia 70.
Mme halali nje ya nyumba yake. Lakini mapenzi anafanya kote.Wake wote wana pesa za kujitosha.
Shida ni moja tu,mama wa ndoa hana muda wa kushughulikia watoto, wala nyumba yake na wala hataki hawa watoto wake wajuane na mtoto wa bi mdogo.
Katika kukosa amani katika nyumba yao,mama wa ndoa akaanza kutembea na ndugu wa karibu na mume na siku walipokuwa na tafrani akamwambia mumewe kuwa ana revenge.
kwa sababu hii nauliza kiukweli tu,kama mume anahitaji kuishi humu duniani afanyeje mkewe wa ndoa akitaka penzi?atembee nae kwa condom au wakapime kila mara akimtaka au amuache-divorce au separation maana yeye anajijua kuwa ana makosa na anakubali, lakini adhabu yake isiwe kuikubali revenge na ategemee kifo cha ukimwi.?
Asante.
Kwa mtazamo wangu.... Ndoa nyingi saana zinaporomoka kwa tatizo kama hili..... Ushindani; Itapotokea tu katika ndoa wote wawili mwashindana kwa kila kitu kwa vitu vya msingi na visivo vya Msingi hamuwezi kudumu.... Ni ngumu sana. Inauma mumeo kuzaa nje na hatimae kua na nyumba ndogo. Ila jamani inabidi tuelewe ndoa is beyond that. Sio Trust pekee ndio hu-define ndoa, Sio Mapenzi peke yake hu-define ndoa, Sio Kuwajibika peke yake hu-define ndoa.... Ndoa sio lele mama.... Huwezi ukaoana na mtu ukategemea maisha yatakua siku zote mteremko... HAIWEZEKANI.
Cha kuzingatia ni kujua kua Ndoa SIO Ndoa kama sio wewe na mwenza wako..... Hadi iweze kua ndoa ni lazima mpendane mfurahi, Mkwazane na mfaulu kusuluhisha, Mtereze na msameheane... mpitie vikwazo viingi na mvishinde! na mengine meeengi. Itapotokea tu Ukajiona wewe upo sooo speacial to the extent kama vile wewe ni Mungu na hustahili kukosewa wala kwamba uko too unique huwezi wala hutarajii kua ukosewe na Mpenzi/mwenza wako... Ndo hapo inapokua tatizo; sababu unakua na roho ya kutomuelewa kabisa mwenza wako, kutotaka tafakari tatizo liliotokea na madhara ya maamuzi wachukua, kutotaka angalia picha from without (as an outsider), kutojiangalia nafasi yako katika tatizo na wala kutojiweka katika nafasi ya mkosaji..... Na hapo kunakua hakuna ndoa tena. Mnabaki mnadimba dimba tu....
IMO... Wote wana makosa... Ingawa mwanaume ndie alieanza.... Mwanamke kayamalizia kwa kuvunja ndoa yake. Ni mara nyingi huwa nagusia mwanamke ana nafasi kubwa sana kwa ndoa yake kua ya Amani, kudumu ama kua Imara. Ni kazi kubwa.... Inauma saana; BUT in most cases worth it.... Thou I should say kuna mambo mengine ya Wanaume hayavumiliki na yanauma mno.... Enwyas I hope they work it out....
Ndg zangu wana JF,
Hivi mtu akiomba msaada wa ushauri ni busara kumtukana kwa kosa alilolifanya au unampa ushauri -uwe mzuri au mbaya?
Mimi nilichouliza wengi wamenijibu lakini nasikitika na pretenders!
I had a friend ambae mke wake alitaka kumkata shingo-kwa kisu kwa sababu ya ulevi na kurudi usiku, siku ya kumkata shingo bahati mbaya kumbe siku hiyo jamaa hakuwa amelewa sawa sawa, akamkata kidogo,lakini mume alipotoka hospitalini baada ya siku kama 14 za kulazwa akawaita ndg na marafiki wengi wa karibu na kuwaambia kinyume na wengi mnachotegemea nimewaita ili nimsamehe mke wangu-hivi ndio alivyojisikia na ilikuwa ni kinyume na ushauri wa wengi waliompa.
Sasa mimi katika njia yangu ya kuogopa kufa kwa ukimwi au kupunguza chances za kuogopa kufa kwa ukimwi,nimeamua kupunguza njia moja,sasa mtu ukiniuliza kwanini ulimfuata huyo mama wa 2, wakati ni jambo nimeishaliombea msamaha na nimekubali makosa unakuwa unataka niseme nini cha kukufurahisha.
Kama alivyosema mwana JF mmoja hapo juu, tuombeane,sio wote waliopata HIV kuwa walikuwa wajinga saaana!
Hii HIV does not depend on your brain only!mke wako anaweza kubakwa na mtu mwenye HIV asikwambie na ukakuta wote mmeambukizwa,wote tuna ndgu na watoto-si lazima jambo kama hili likukute wewe tu,sijui kama kuna mwanaume mwenye control kwa mke wake au vice versa,
Nawapenda nyote.
Tuombeane!
Kwa mtazamo wangu.... Ndoa nyingi saana zinaporomoka kwa tatizo kama hili..... Ushindani; Itapotokea tu katika ndoa wote wawili mwashindana kwa kila kitu kwa vitu vya msingi na visivo vya Msingi hamuwezi kudumu.... Ni ngumu sana. Inauma mumeo kuzaa nje na hatimae kua na nyumba ndogo. Ila jamani inabidi tuelewe ndoa is beyond that. Sio Trust pekee ndio hu-define ndoa, Sio Mapenzi peke yake hu-define ndoa, Sio Kuwajibika peke yake hu-define ndoa.... Ndoa sio lele mama.... Huwezi ukaoana na mtu ukategemea maisha yatakua siku zote mteremko... HAIWEZEKANI.
Cha kuzingatia ni kujua kua Ndoa SIO Ndoa kama sio wewe na mwenza wako..... Hadi iweze kua ndoa ni lazima mpendane mfurahi, Mkwazane na mfaulu kusuluhisha, Mtereze na msameheane... mpitie vikwazo viingi na mvishinde! na mengine meeengi. Itapotokea tu Ukajiona wewe upo sooo speacial to the extent kama vile wewe ni Mungu na hustahili kukosewa wala kwamba uko too unique huwezi wala hutarajii kua ukosewe na Mpenzi/mwenza wako... Ndo hapo inapokua tatizo; sababu unakua na roho ya kutomuelewa kabisa mwenza wako, kutotaka tafakari tatizo liliotokea na madhara ya maamuzi wachukua, kutotaka angalia picha from without (as an outsider), kutojiangalia nafasi yako katika tatizo na wala kutojiweka katika nafasi ya mkosaji..... Na hapo kunakua hakuna ndoa tena. Mnabaki mnadimba dimba tu....
IMO... Wote wana makosa... Ingawa mwanaume ndie alieanza.... Mwanamke kayamalizia kwa kuvunja ndoa yake. Ni mara nyingi huwa nagusia mwanamke ana nafasi kubwa sana kwa ndoa yake kua ya Amani, kudumu ama kua Imara. Ni kazi kubwa.... Inauma saana; BUT in most cases worth it.... Thou I should say kuna mambo mengine ya Wanaume hayavumiliki na yanauma mno.... Enwyas I hope they work it out....
Huu ni ushahidi usiopingika kwamba wanaume ni very weak linapokua suala la ngono!!!
Yeye katembea nje hadi kuzaa na kuona ni sawa; ila wife kaguswa tu ndipo anakumbuka magonjwa ya zinaa!!!
Babu DC!!