Ukiyaweza haya chepuka tu ila usioe

Ukiyaweza haya chepuka tu ila usioe

pole my sion haja ya kumuua mtoto wa mtu
ukitaka mwanamke usiumie kabisa mmeo kuwa na mchepuko na we chepuka.... kuwa na mpenz wako mmoja nje mpende walah!!! hata mume akisafir unataman asirudi
 
Jamani kwa sensor iliyofanyika hv karibuni hapa duniani tuko watu tusiopungua Bilioni 7.1, kati ya hao asilimia 69% ni wanawake na 31% ni wanaume, hivyo wanawake kuweni na huruma na hao wenzenu ambao hawakubahatika kuolewa kwani nao wanahisia kama nyie hivyo wanahitaji pia raha mnayoipata huko kwenye ndoa zenu.
 
Hizo takwimu ni za kweli ila sikubaliani na michepuko kabisa kwa sababu za kiimani na kijamii pia
 
Jamani kwa sensor iliyofanyika hv karibuni hapa duniani tuko watu tusiopungua Bilioni 7.1, kati ya hao asilimia 69% ni wanawake na 31% ni wanaume, hivyo wanawake kuweni na huruma na hao wenzenu ambao hawakubahatika kuolewa kwani nao wanahisia kama nyie hivyo wanahitaji pia raha mnayoipata huko kwenye ndoa zenu.

tena Kwenye hao wanaume mashoga na mahanithi wamo
 
Jamani kwa sensor iliyofanyika hv karibuni hapa duniani tuko watu tusiopungua Bilioni 7.1, kati ya hao asilimia 69% ni wanawake na 31% ni wanaume, hivyo wanawake kuweni na huruma na hao wenzenu ambao hawakubahatika kuolewa kwani nao wanahisia kama nyie hivyo wanahitaji pia raha mnayoipata huko kwenye ndoa zenu.

Census not sensor.
 
Back
Top Bottom