Ukiyaweza haya chepuka tu ila usioe

Ukiyaweza haya chepuka tu ila usioe

Wewe una msongo wa mawazo mkubwa sana, unahitaji msaada mkubwa sana.

Wanawake mnatakiwa kujua hili kwamba mwanamke mmoja hatoshi kwa mwanaume, hii imethibitishwa kisayansi na kijamii.

Ukishajua hilo huna haja ya kugombana na mme wako au mpenzi wako,muombe tu akuheshimu na awaambie michepuko yake ikuheshimu.
 
We ndio unavyofanya hivyo ?
 
MO11 ndivyo nlivyoamua cku nyingi sana maisha yangu marahisii
 
Wewe una msongo wa mawazo mkubwa sana, unahitaji msaada mkubwa sana.

Wanawake mnatakiwa kujua hili kwamba mwanamke mmoja hatoshi kwa mwanaume, hii imethibitishwa kisayansi na kijamii.

Ukishajua hilo huna haja ya kugombana na mme wako au mpenzi wako,muombe tu akuheshimu na awaambie michepuko yake ikuheshimu.



mi ndo nna msongo wa mawazo tena makubwa! mi nawaza tu wanangu wakiwa wagonjwa na akaunti ikipungua hela tu.
 
7.chochote kinachohusu maendeleo ni wajibu wako, mi kazi yangu kufanya wajibu wangu kama mama traditionally

ukiniletea ukimwi leo kesho nasambaratisha ubongo na pisto tarehe 9/12/ ntaachiwa huru .

Ambao ni?

Na hiyo 'tarehe 9/12' utakayoachiwa baada ya kuua, ni ya mwaka gani, au miaka mingapi mbele?
 
Pole sana, ukweli mambo haya yanaumiza sana haswa kuwaacha watoto yatima bila kuwawekezea chochote. Hata wanawake wengi haswa walioolewa ndio wanaongoza kwa michepuko. Tuziombee sana familia zetu hali sio Shwari.
 
Kweli huu ni msongo wa mawazo. Pole mdada. Sasa uta hakikishaje anatumia condom? Utahakikishaji anaye chepuka naye hana magonjwa? Haya mambo yote yako nje ya uwezo wako. Yaani ni threate. Na ni kwa sababu ya hivyo vitu viwili ndo maana watu wanakuwa wakali kuhusu michepuko.
 
weeeeee nikiujua mchepuko wake nita UpASUA BALAAA
mume mtamu siwez kuridhika akiwa na mchepuko
 
pole sana kwa kusongoka mwaj wa ukweli. sasa huo muda wa kufatilia kama katumia kondomu unao? na kwahiyo siku kama hana hela ya matumizi.....(as siku hazifanani) hapo utajipa mawazo kuwa njemba kazimaliza kwa mchepuko?!?!:confused2:
kusongoka kunazidi hapo. Kazii unayo.
 
weeeeee nikiujua mchepuko wake nita UpASUA BALAAA
mume mtamu siwez kuridhika akiwa na mchepuko

khaaa
masai dada they say sharing is caring....let them enjoy! and make sure you do the same! Fair play! Fullstop
 
Mtoa mada pole kwa yaliyokusibu na yanayosibu wanawake wengi.

nakushauri kitu kimoja japo chaweza kuwa kibaya au kizuri. Kamwe usije ua mtoto wa mwanamke mwenzako. Hivi ukiua itakusaidia nini? Nimekupenda zaidi kwa vile unajua kufikiria kutafuta hela zako mwenyewe so ukiona hamuendi sambamba ni bora uachane nae uchukue watoto wako na si kumuua jamani.
Kama ingekuwa kumbastola ndio suluhisho wengi mbona tungeisha/wangeisha??

Chondechonde wanaume ni wachache duniani usije kuwa mhanga wa kuendelea kuwapunguza.
 
Wewe una msongo wa mawazo mkubwa sana, unahitaji msaada mkubwa sana.

Wanawake mnatakiwa kujua hili kwamba mwanamke mmoja hatoshi kwa mwanaume, hii imethibitishwa kisayansi na kijamii.

Ukishajua hilo huna haja ya kugombana na mme wako au mpenzi wako,muombe tu akuheshimu na awaambie michepuko yake ikuheshimu.

Ndivyo unavyodanganya wenzio!!! ndooroooboo kbs ww
 
Dunia yetu ni nzuri ila wanadamu ndo wabaya. Mtu na akili zake atashauri vipi watu wazini? Nyie ndo mwatakiwa fungwa jiwe shingoni na kutupwa baharini
 
Haaaaaaaaaaaaah haaaaaaah haaaaah...! Wat a spectacular post wooouhh thats it .....wat a Gorgeous plan B
 
Back
Top Bottom