Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,339
- 3,094
?
Inafutika unaanza upyaUkiwa unafunga novena ya mt ritha wa kashia
Je ni lazima kilasiku usali muda uleule kama ni sa 11 alfajiri uwe una sali sa 11 alfajiri kilasiku ??
Je ukijisahau siku nyingine ukasali sa 12 asubuh siku nyungine sa 11 asubuh je Mungu hatosikia maombi yako ?
Bro😅Sali tu hamna shida, kikubwa usiache kutoa sadaka....gerezani kuna watoto wachanga wapelekee mahitaji Mungu atakujibu kwa wakati.
Ibada njema
Bro maisha yafaa nini bila mvinyoBro😅
Leo ni off nakula vitu vyangu broBro maisha yafaa nini bila mvinyo
Kula vyombo kula vyomboLeo ni off nakula vitu vyangu bro