Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Kwa haya uliyoandika inaonesha wewe si maskini... Maskini wanachukia tajiri anapozungumzia mambo ambayo yanaonesha mafanikio yake. Wanakasirika sana na kutokwa povu
Mkuu mm ni mtu wa maisha ya kawaida sana. Sema ukijua maisha n nn na kwa nn maua hayakua na rangi moja au harufu ya aina moja utafurahia sana maisha.
Ya nn kumfuatilia au kumchukia mtu kisa maisha yake ?